Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
Haya tunayaita " MAHABA ya dhati"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya tunayaita " MAHABA ya dhati"
Siyo endapo atafeli huyu mtu wa nec naye mnafiki tu , kasema endapo mkimuibia kura na mkimnyima kumtangaza wakati kashindaMsajili msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.
Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.
Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani
Maendeleo hayana vyama!
Huyo atakuwa Joti!
Mtungi ameishafikisha umri wa kustaafu na huyu anakutafuta hicho kiti kwa vituko ili jiwe amsikie, amteueMsajili msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.
Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.
Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani
Maendeleo hayana vyama!
Tume siyo huru kwasababu haishirikishi wapinzaniUkiibiwa kura unashinda?
Haijawahi kutokea upinzani hasa chadema kukubali matokeo. Watasema tu wameporwaAmekosea huyo msajili, Lisu amesema iwapo atashindwa kwa kuporwa ushindi hatamuachia Mungu. Na iwapo ushindi utakuwa ni huu wa kishenzi, sioni kwanini tusibanane ili kurejesha nidhamu ya box la kura.
Nyahyoza kwanini asichukue fomu kwa tiketi ya ccm ?Msajili msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.
Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.
Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani
Maendeleo hayana vyama!
Nipo daily,japo nimekua mkimya...Mkuu ulipotelea wapi hapa katikati?
Nyahuza siyo Jaji!Mtungi ameishafikisha umri wa kustaafu na huyu anakutafuta hicho kiti kwa vituko ili jiwe amsikie, amteue
Nani atakayethibitisha kuwa ameibiwa kura? Je ni yeye mwenyewe au mahakama? Kujificha kwenye kichaka cha kuibiwa kura kwa upinzani hakujawahi kuwasaidia.Mbona anachukua sentensi nusu nusu ameacha kisababishi, Lissu alisema 'endapo ataibiwa kura' ataingiza watu barabarani, mbona iko wazi hata Seif kasema hivyo hivyo.
Ila angalau meseji zimeanza kuwafikia walizoea watu wa kuwaambia tutamwachia Mungu, Lissu ni mgombea sahihi kwa muda sahihi.
Pumbavu sana huyu msajili wa ccm.Msajili msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.
Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.
Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani
Maendeleo hayana vyama!
Nimeambiwa kuwa J. Butiku kasema CCM kuna rushwa balaa.Nafuatilia hapa live mkutano wa Nccr Mageuzi, kama hizi thread mnazoanzisha hapa JF ndio huwa mnaokoteza maneno mawili matatu ya mtu na kuanzisha thread basi tuna msiba.
Haya sasa Joseph Butiku yupo live anavikemea vyombo vya dola anzisha uzi basi.
Msajili ni mlezi wa vyama vyote!Nyahyoza kwanini asichukue fomu kwa tiketi ya ccm ?
wadanganye wajinga .Msajili ni mlezi wa vyama vyote!
Msajili msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.
Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.
Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani
Maendeleo hayana vyama!
Haya!wadanganye wajinga .