Uchaguzi 2020 Msajili: Mgombea aliyesema ataingiza watu barabarani kama akishindwa Urais ametoa lugha za vitisho, siyo ustaarabu

Uchaguzi 2020 Msajili: Mgombea aliyesema ataingiza watu barabarani kama akishindwa Urais ametoa lugha za vitisho, siyo ustaarabu

Msajili msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.

Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.

Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani

Maendeleo hayana vyama!
Siyo endapo atafeli huyu mtu wa nec naye mnafiki tu , kasema endapo mkimuibia kura na mkimnyima kumtangaza wakati kashinda
 
Msajili msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.

Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.

Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani

Maendeleo hayana vyama!
Mtungi ameishafikisha umri wa kustaafu na huyu anakutafuta hicho kiti kwa vituko ili jiwe amsikie, amteue
 
Amekosea huyo msajili, Lisu amesema iwapo atashindwa kwa kuporwa ushindi hatamuachia Mungu. Na iwapo ushindi utakuwa ni huu wa kishenzi, sioni kwanini tusibanane ili kurejesha nidhamu ya box la kura.
Haijawahi kutokea upinzani hasa chadema kukubali matokeo. Watasema tu wameporwa
 
Huyo atakuwa Joti!
116423498_3221071491317854_4980114791680046068_n.jpg

Joti huyu hapa na Masanja Mkandamizaji
 
Huyo msajili analinda kibarua chake.
Kwa hiyo anataka mtu akiibiwa kura zake afanyaje?
Acheke,alie,ajambe,akagegedane,anyamaze na kuanza kusifia mshindi au??
Ni shida kweli kuelewa hawa watu wenye nafasi za kuteuliwa..))
 
Nani ata
Mbona anachukua sentensi nusu nusu ameacha kisababishi, Lissu alisema 'endapo ataibiwa kura' ataingiza watu barabarani, mbona iko wazi hata Seif kasema hivyo hivyo.

Ila angalau meseji zimeanza kuwafikia walizoea watu wa kuwaambia tutamwachia Mungu, Lissu ni mgombea sahihi kwa muda sahihi.
Nani atakayethibitisha kuwa ameibiwa kura? Je ni yeye mwenyewe au mahakama? Kujificha kwenye kichaka cha kuibiwa kura kwa upinzani hakujawahi kuwasaidia.
 
Amsikilize Tena ule upumbavu wao wa kutoroka ofisi this time noooo
 
Msajili msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.

Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.

Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani

Maendeleo hayana vyama!
Pumbavu sana huyu msajili wa ccm.
Yule mgombea wake alipowaambia wakurugenzi kwamba nilazima wawatangaze ccm kwa sababu anawapa mshahara, gari nyumba alimkemea? Au huo ndio ustaarabu wa mgombea wake? Pumbavu kabisa
 
Nafuatilia hapa live mkutano wa Nccr Mageuzi, kama hizi thread mnazoanzisha hapa JF ndio huwa mnaokoteza maneno mawili matatu ya mtu na kuanzisha thread basi tuna msiba.

Haya sasa Joseph Butiku yupo live anavikemea vyombo vya dola anzisha uzi basi.
Nimeambiwa kuwa J. Butiku kasema CCM kuna rushwa balaa.
 
Lissu ana meremeta hadi kila mtu anamgombania[emoji111][emoji1][emoji39]
Msajili msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.

Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.

Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani

Maendeleo hayana vyama!
 
Back
Top Bottom