Uchaguzi 2020 Msajili: Mgombea aliyesema ataingiza watu barabarani kama akishindwa Urais ametoa lugha za vitisho, siyo ustaarabu

Uchaguzi 2020 Msajili: Mgombea aliyesema ataingiza watu barabarani kama akishindwa Urais ametoa lugha za vitisho, siyo ustaarabu

Msajili msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.

Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.

Maendeleo hayana vyama!
Wewe au huyo kada mwingine amepotosha.
Mmeacha kwa makusudi neno muhimu: uhuni
 
Msajili msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.

Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.

Maendeleo hayana vyama!
Acheni unafiki,alichosema Lissu kama taibiwa kura na uchaguzi kuwa sio wa haki,nitarudisha majibu kwa wananchi
 
Msajili msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.

Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.

Maendeleo hayana vyama!
Mtikila alijarubu na alishindwa!
 
Msajili msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.

Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.

Maendeleo hayana vyama!
Lissu kawakamata MATAGA kunako I tell you!!
 
sasa ushindwe urais alafu uingize watu barabarani unataka aliyeshinda atawaleje watu waliompa ushindi?

Lissu Bhana.
Huo ni wakati wa aliyeshinda kutumia Barabara hizo kuleta maendeleo jamani
Nawe unaingia kundi la "akili ndogo"
 
Msajili bana, naona sasa office nzima sasa mnafanya kazi ya kuchambua maneno ya Lissu na kutolea ufafanuzi....haya unataka awapeke makanisani ?

Waambie Tume ya Uchaguzi wasiuchezee kamwe uchaguzi huu kama ule UHUNI uliofanyika wakati wa chaguzi ndogo..

Mwaka huu CCM wamo kwa 18 za wananchi.

Afu ongelea basi na rushwa ya mgombea wa CCM au wewe si mlezi na Msajili wa chama dola?
 
Nafuatilia hapa live mkutano wa Nccr Mageuzi, kama hizi thread mnazoanzisha hapa JF ndio huwa mnaokoteza maneno mawili matatu ya mtu na kuanzisha thread basi tuna msiba.

Haya sasa Joseph Butiku yupo live anavikemea vyombo vya dola anzisha uzi basi.
Sawa naanzisha!
 
Ni kwa nini msajili anaogopa sana watu kuingia barabarani ili hali kila siku watu wako humo na mishe zao ? Ni nini haswa wanachoogopa, watu kukataa udharimu wa kuchakachua kura na kuidai haki yao huko barabarani? si wafanye haki na ndio tuone kama kweli watu wataenda...
 
Ni sawa sawa na mtu uibiwe mke halafu ukae kimya kama zezeta bila kupambana. Hivi inawezekana kweli.

Tumieni akili zenu embu
 
Kwanza tupate tafsiri ya kisheria, neno ‘kuingiza’ barabarani!
 
Back
Top Bottom