Uchaguzi 2020 Msajili: Mgombea aliyesema ataingiza watu barabarani kama akishindwa Urais ametoa lugha za vitisho, siyo ustaarabu

Uchaguzi 2020 Msajili: Mgombea aliyesema ataingiza watu barabarani kama akishindwa Urais ametoa lugha za vitisho, siyo ustaarabu

Linapokuja swala la Lisu msajili anakuwa na hulka kama za wale wazee wastaafu....in Magu's accent.
 
Mbona anachukua sentensi nusu nusu ameacha kisababishi, Lissu alisema 'endapo ataibiwa kura' ataingiza watu barabarani, mbona iko wazi hata Seif kasema hivyo hivyo.

Ila angalau meseji zimeanza kuwafikia walizoea watu wa kuwaambia tutamwachia Mungu, Lissu ni mgombea sahihi kwa muda sahihi.
Hajafanya hivyo kwa bahati mbaya. Tume iko kazini kuipigia kampeni ccm ili ile kazi yao maalumu iwe rahisi
 
Amekosea huyo msajili, Lisu amesema iwapo atashindwa kwa kuporwa ushindi hatamuachia Mungu. Na iwapo ushindi utakuwa ni huu wa kishenzi, sioni kwanini tusibanane ili kurejesha nidhamu ya box la kura.
Hajakosea mzee amefanya maskudi kabisaa na hiyo kazi maalumu ya tume hii waliyopewa na mkuu wa malaika jiwesiasis
 
Na wengine tumetishwa jana kuwa vyama vya upinzani wakiingia madarakani watavunja madaraja,tunaomba msajili akemee hili.
 
Msajili msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.

Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.

Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani

Maendeleo hayana vyama!
Hajasema akishindwa ataingiza watu barabarani, amesema akipokonywa ushindi hatakubali, ataingiza watu barabarani.
Bahati mbaya hakuna mahakama nchini iliyopewa uwezo wa kisheria kutafsiri maana ya kushindwa au kupokonywa ushindi kwa ngazi ya urais.
Kungekuwa na Mahakama yenye mamlaka hayo nina uhakika angekimbilia Mahakamani, ila kwa kuwa Mahakama ya aina hiyo haipo nchini basi katika mazingira hayo mara nyingi watu ndiyo Mahakama na Majaji. Ustaarabu ilikuwa ni kuipa mahakama nguvu ya kusikiliza malalamiko ya eneo hilo.
Patamu hapo.
 
Aliyeanzisha thread hii hana tofauti na mihadhala ya mujahedeen.

Kwa mbali naunga mkono sheria ya cyber crime, Watanzania wengi ni tatizo.
Dah matola karibu nianzishe uzi kwa ajili yako yani kitambo sana jamvini.
 
Mbona anachukua sentensi nusu nusu ameacha kisababishi, Lissu alisema 'endapo ataibiwa kura' ataingiza watu barabarani, mbona iko wazi hata Seif kasema hivyo hivyo.

Ila angalau meseji zimeanza kuwafikia walizoea watu wa kuwaambia tutamwachia Mungu, Lissu ni mgombea sahihi kwa muda sahihi.
Hao watu wa yeye kuwaingiza barabarani anawatoa wapi?watu 95% tunamuelewa JPM sasa anawatoa wapi wa kuingia barabarani? Huyo ni mvuta bangi tu na yeye anajua isipokua lazima aropoke ili mabeberu yaliyompa pesa yamsikie
 
Na wengine tumetishwa jana kuwa vyama vya upinzani wakiingia madarakani watavunja madaraja,tunaomba msajili akemee hili.
Akemee vipi na lengo lao ni moja na wako kwenye team moja ya kampeni. Sema ametudharau sana yaani anavyojiona akili zake zilivyo na uwezo mdogo hata kuja na mbinu za kitoto kama hizi, basi na sie watanzania wengine tuko kama yeye
 
Hao watu wa yeye kuwaingiza barabarani anawatoa wapi?watu 95% tunamuelewa JPM sasa anawatoa wapi wa kuingia barabarani? Huyo ni mvuta bangi tu na yeye anajua isipokua lazima aropoke ili mabeberu yaliyompa pesa yamsikie
Hayo ni mawazo yako.
 
Msajili msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.

Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.

Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani

Maendeleo hayana vyama!
Kweli uwezo wa kuelewa tunatofautiana alisema akiibiwa kura
 
117195765_3213508722074131_2911542144163865371_n.jpg
 
Hao watu wa yeye kuwaingiza barabarani anawatoa wapi?watu 95% tunamuelewa JPM sasa anawatoa wapi wa kuingia barabarani? Huyo ni mvuta bangi tu na yeye anajua isipokua lazima aropoke ili mabeberu yaliyompa pesa yamsikie
Usinijumuishe mimi na familiayangu na marafiki zangu kwenyehiyo 95% tafadhali.
 
Msajili msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.

Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.

Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani

Maendeleo hayana vyama!
Ni vizuri msajili angeeleza kwa nini mgombea huyo imefikia mpaka kayasema hayo!!
Hoja ya Lissu ambayo ni ya msingi kabisa ni kwamba endapo mchakato wa uchaguzi utavurugwa ili kupindisha haki na yeye akawa ni mhanga wa uvurugaji huo basi hatasita kuwambia watu wamsaidie kudai haki barabarani.Tumeona wananchi wa Malawi;
nazani ndio staili hiyo walitumia pia.
Watanzania tusiogope kuingia barabarani ni vitu vya kawaida sana kwenye nchi za wenzetu ambapo demokrasia imetamalaki,; tumeona tu ivi karibuni huko Marekani watu walivoingia barabarani kudai haki ya mtu mweusi aliyeuwawa na polisi wazungu. Hii mbinu moja wapo tu kati ya nyingi zinazoweza kutumika kudai haki ili mradi kusikuwepo na uvunjifu wa amani au uharibifu wa mali
 
Msajili msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.

Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.

Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani

Maendeleo hayana vyama!
Lissu ni mgombea sahihi wa wakati sahii, walizoea siasa nyepesi za kumuachia Mungu au za kuogopa, go go go Lissu
 
Back
Top Bottom