Uchaguzi 2020 Msajili: Mgombea aliyesema ataingiza watu barabarani kama akishindwa Urais ametoa lugha za vitisho, siyo ustaarabu

Uchaguzi 2020 Msajili: Mgombea aliyesema ataingiza watu barabarani kama akishindwa Urais ametoa lugha za vitisho, siyo ustaarabu

Mbona anachukua sentensi nusu nusu ameacha kisababishi, Lissu alisema 'endapo ataibiwa kura' ataingiza watu barabarani, mbona iko wazi hata Seif kasema hivyo hivyo.

Ila angalau meseji zimeanza kuwafikia walizoea watu wa kuwabia tutamwachia Mungu, Lissu ni mgombea sahihi kwa muda sahihi.
Itabidi athibitishe huo uwezo mahakamani kwanza
 
Msajili msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.

Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.

Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani

Maendeleo hayana vyama!
Akisndwa kwa halali ni tofauti na kushindwa kwa kuibwa kura zake eti.
 
CCM itapata pigo kuuuuubwa sana pigo moja tu pigo takatifu pigo lililonyooka kabla ya uchaguzi mkuu ujao,moto unaofukuta kutokana na spana za wajumbe lazima utawababua tu.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Mbona anachukua sentensi nusu nusu ameacha kisababishi, Lissu alisema 'endapo ataibiwa kura' ataingiza watu barabarani, mbona iko wazi hata Seif kasema hivyo hivyo.

Ila angalau meseji zimeanza kuwafikia walizoea watu wa kuwaambia tutamwachia Mungu, Lissu ni mgombea sahihi kwa muda sahihi.
Lissu sio kama lile tutusa lao ambalo tulidhani ndiye kumbe siye.
Lissu haangalii makunyanzi Bali anapiga mulemule, na muziki wake mtaucheza mwaka huu
 
Kwahiyo akishindwa anaingia barabarani. Barabara hizihizi zilizojengwa na Magufuli?
 
lisu kasema akiibiwa kura,hajasema akishindwa uraisi,majitu majinga Haya yako kama roboti
 
Msajili tuliza mukari,ccm tutashinda

Halafu najaribu kujiuliza mbona kama vile huyu Sisty Nyahuza amekua na publicity kubwa sana na wakati ni msaidizi kupita hata Francis Mutungi mwenyewe??

Au kwakua Mutungi ni mtungi?
E899E524-1CEB-4D9C-A272-A52C1624C4AD.jpeg
 
Msajili msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.

Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.

Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani

Maendeleo hayana vyama!
Hajasema endapo atashindwa (feli) bali endapo kura zake zitafanyiwa figusi figusi na kuibiwa au kuchakachuliwa. Waweke sawa maneno yao na ana wasi wasi gani kama anajua hakuna wizi
 
Mbona anachukua sentensi nusu nusu ameacha kisababishi, Lissu alisema 'endapo ataibiwa kura' ataingiza watu barabarani, mbona iko wazi hata Seif kasema hivyo hivyo.

Ila angalau meseji zimeanza kuwafikia walizoea watu wa kuwaambia tutamwachia Mungu, Lissu ni mgombea sahihi kwa muda sahihi.
Mwanzoni wanaanzaga hivyo hivyo ila baada ya matokeo ndo tunamuachia Mungu zinafata
 
Shida kubwa tuliyonayo katika nchi hii ni kua na taasisi dhaifu sana za umma zinazoongozwa na vibaraka wa rais anayetawala.

Wapinzani wakiibiwa kura wakachukua hatua ni uvunjifu wa sheria lakini ccm wakiiba kura ni halali tu wala haina shida.

Mwaka kesho lazima tupate katiba mpya ili ijulikane kama kuna umuhimu wa kuwa na ofisi kama hizi na kama kuna umuhimu viongozi wake wapatikaneje na ofisi ziwe huru zisiwe ni matawi ya ccm kama ilivyo sasa.
 
Back
Top Bottom