Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Hivi hamjifunzi tu kuwa wanyalu huwa wanawadharau sana wanawake?Hahahaaaa..... Baada ya shughuli ya Kumdhamini Rais Magufuli kukamilika nilirejea Iringa.
Na nimejiridhisha mchungaji Msigwa atafungasha virago 28 October saa 4 asubuhi!
Kesho nitarudi tena Dodoma kushereheke Nane Nane si unajuwa hakuna ofisi inafunguliwa kesho bwashee?
Maendeleo hayana vyama
Kwani Monica alikuwa mwanaume?!Hivi hamjifunzi tu kuwa wanyalu huwa wanawadharau sana wanawake?
Natanguliza pole za dhati kwa huyo Jesca 🤣🤣🤣
Tujiandae tu kuingia barabarani maana CCM itashinda kwa kishindo ambacho hakijawahi kutokeaMsajili msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.
Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.
Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani
Maendeleo hayana vyama!
Amekosea msajili, mgombea alisema endapo akiibiwa kura na sio akindwa!Msajili msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.
Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.
Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani
Maendeleo hayana vyama!
Huyu Mgombea Mwaka huu atawapa Stroke au Cardiac Arrest!!! Hamchoki kumchokonoa.Msajili msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.
Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.
Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani
Maendeleo hayana vyama!
Huyu jamaa kweli jina lake linafanana na akili yake.."Nya....hoza" Lisu alisema kama ataibiwa sio endapo atafeli hizo ni sentensi mbili tofauti....Tatizo anayemtuma nae akili yake ni kama sufuria tu au mtungi wa majiMsajili msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.
Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.
Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani
Maendeleo hayana vyama!
Faki yu too..:-(^_^Akili ndogo siku zote hazifikirii kamwe! Tundu Lissu alisema "Wakiibiwa kura wataingia barabarani, sio kuwa wakishindwa uchaguzi". Mbona mnapenda kuwawekea watu maneno midomoni? Faki Yuu Meni!
Wamezoea kupindua matokeo halafu maisha yanaendelea,wana kisiki cha mpingo safari hii.Lissu atawanyoosha.Na naomba awanyooshe tu.Tunataka HAKI ya watanzania kuchaguwa viongozi wao wanaowataka iheshimike.Msajili msaidizi wa Vyama vya Siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.
Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.
Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani
Maendeleo hayana vyama!
Huyu jinga kabisa,Msajili msaidizi wa Vyama vya Siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.
Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.
Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani
Maendeleo hayana vyama!
Msajili msaidizi wa Vyama vya Siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.
Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.
Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani
Maendeleo hayana vyama!
F.U.BMsajili msaidizi wa Vyama vya Siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.
Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.
Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani
Maendeleo hayana vyama!
Nini maana ya "kuibiwa" na nini maana ya "kushindwa!" Labda mimi sijui kutofautishaMsajili msaidizi wa Vyama vya Siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.
Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.
Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani
Maendeleo hayana vyama!
Kwenye siasa kushindwa na kuibiwa vinafanana!Nini maana ya "kuibiwa" na nini maana ya "kushindwa!" Labda mimi sijui kutofautisha
Kwani vitisho vinaangaliwa kwa mrengo mmoja tuu,au Mimi sijaelewa maana ya maendeleo hayana vyama.Msajili msaidizi wa Vyama vya Siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.
Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.
Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani
Maendeleo hayana vyama!
Labda kwa siasa ambazo ni si hasa maana wizi ni wizi na kushindwa ni jambo jingine.Kwenye siasa kushindwa na kuibiwa vinafanana!
CCM wanaaminika kwa ustaarabu bwashee!Kwani vitisho vinaangaliwa kwa mrengo mmoja tuu,au Mimi sijaelewa maana ya maendeleo hayana vyama.
Nashangaa! Jiwe alisema tena kwa sauti kubwa kuwa "Wapinzani wakishinda uchaguzi basi nchi itauzwa kwaMabeberu" hilo kwake vipi ni sahihi? Au siyo vitisho??huyu msajili au Mjumbe wa CCM??
Sema Tu huyu mzee ni mkwe wanguNashangaa! Jiwe alisema tena kwa sauti kubwa kuwa "Wapinzani wakishinda uchaguzi basi nchi itauzwa kwaMabeberu" hilo kwake vipi ni sahihi? Au siyo vitisho??