Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Acha ujinga,ili tukuchaguewewe mamluki au,ndio sababu ya kumbambikia ili mlete yale ya buguruni na Leprofeserer sio.Inaenda miezi miwili sasa kiuhalisia Chama chetu hakina viongozi. Na hatujui hatima ya mali ya chama chetu ambacho ni mali ya watanzania.
Mwenyekiti yupo ndani kwa makosa ya ugaidi na uhujumu uchumi.
Makamu mwenyekiti yupo ulaya anadhurula hovyo hovyo.
Tumia mamlaka yako ya kisheria itisha uchaguzi ili tupate uongozi maana tunayumba hovyo.
Kamanda kubali ukweli hatuna viongozi kwa sasa.Acha ujinga,ili tukuchaguewewe mamluki au,ndio sababu ya kumbambikia ili mlete yale ya buguruni na Leprofeserer sio.
Au ndio sababu za uhakiki wa yule karani wa vyama.Ilipangwa ili kutafuta uhalali wa haramu kusudiwa?Kamanda kubali ukweli hatuna viongozi kwa sasa.
Weka picha ya kadi yako hapa tuwe na uhakika kuwa wewe ni mwanachama halisi na hai wa Chadema.Inaenda miezi miwili sasa kiuhalisia Chama chetu hakina viongozi. Na hatujui hatima ya mali ya chama chetu ambacho ni mali ya watanzania.
Mwenyekiti yupo ndani kwa makosa ya ugaidi na uhujumu uchumi.
Makamu mwenyekiti yupo ulaya anadhurula hovyo hovyo.
Tumia mamlaka yako ya kisheria itisha uchaguzi ili tupate uongozi maana tunayumba hovyo.
Huyo mamluki 😂Weka picha ya kadi yako hapa tuwe na uhakika kuwa wewe ni mwanachama halisi na hai wa Chadema.
Nani mamluki? Nilichukua kadi mwembe yanga mwaka 2008Huyo mamluki 😂
Chama chetu kinakufaKamanda turudi kwenye zile mada zetu za mipini, huku tuwaachie wenye akili timamu.
Kila mara namshauri kamanda mchovu akapumzike uchovu ukiisha arudi humu jukwaani.Kamanda turudi kwenye zile mada zetu za mipini, huku tuwaachie wenye akili timamu.
Tumuongeze kwenye lile kundi la wabunge wa Chadema kupitia CCM (Covid 19 iwe 20).Huyo mamluki 😂
Umeambiwa ipandishe kadi humu,kushindwa kufanya hivyo ni kushindwa kuthibitisha sii umamluki.Nani mamluki? Nilichukua kadi mwembe yanga mwaka 2008
Ila wale ni usajili wa mzee wa bakoraTumuongeze kwenye lile kundi la wabunge wa Chadema kupitia CCM ( covid 19 iwe 20).
Utadanja utakiacha chama unachokiombea kife.Chama chetu kinakufa
Aipandishe hapa tuioneKwa hiyo kadi yako inajulika "mwembe yanga 2008"! Wewe utakuwa ni mzimu wa watu wa kale.
Ipi tena, kadi yake ni mwembe yanga 2008!Aipandishe hapa tuione
Ushauri wangu ,kwa kuwa mwanzo alikuwa mwana buguruni arudi mo, atayaona maslahi yake tena.Ipi tena, kadi yake ni mwembe yanga 2008!
Kamanda uliishia la ngapi?Ushauri wangu ,kwa kuwa mwanzo alikuwa means buguruni arudi mo, atayaona maslahi yake tena.
Dogo Hawa waliopo ni moderate. Watakuja radical hapatatoshaInaenda miezi miwili sasa kiuhalisia Chama chetu hakina viongozi. Na hatujui hatima ya mali ya chama chetu ambacho ni mali ya watanzania.
Mwenyekiti yupo ndani kwa makosa ya ugaidi na uhujumu uchumi.
Makamu mwenyekiti yupo ulaya anadhurula hovyo hovyo.
Tumia mamlaka yako ya kisheria itisha uchaguzi ili tupate uongozi maana tunayumba hovyo.