Trust None
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 1,260
- 4,419
Watanzania tusimamie kura zetu zisiibiwe kwa namna yoyote ile...Nasema uache kujipendekeza kwa CCM kwasababu mgombea wo wa uraisi ameshawatisha wananchi lakini hukuchukua hatua yoyote.
Mgombea wa CCM anawaambia wananchi wasipochagua CCM watajuta na hatawaletea maendeleo. Mlichukua hatua gani?
Kuna vyama viliunga mkono mgombea wa CCM lakini mlikaa kimya. Vingine havikusimamisha kabisa mgombea wa uraisi ili kumuunga mkono JPM.
kwanini sasa ACT wanaposema wanamkubali Lissu muanze kuwaandikia barua za kujieleza? Msitake kutuletea machafuko yasiyo ya lazima.
Niupenda Sana mwaka 2015 ila mwaka 2020 kwangu nimeupenda zaidi, Yani mie sio tajiri ila moyo wangu unaamani Sana, na furaha teleNasema uache kujipendekeza kwa CCM kwasababu mgombea wo wa uraisi ameshawatisha wananchi lakini hukuchukua hatua yoyote.
Mgombea wa CCM anawaambia wananchi wasipochagua CCM watajuta na hatawaletea maendeleo. Mlichukua hatua gani?
Kuna vyama viliunga mkono mgombea wa CCM lakini mlikaa kimya. Vingine havikusimamisha kabisa mgombea wa uraisi ili kumuunga mkono JPM.
kwanini sasa ACT wanaposema wanamkubali Lissu muanze kuwaandikia barua za kujieleza? Msitake kutuletea machafuko yasiyo ya lazima.
Baba yake alikuwa mwanzilishi wa chadema asitutishe tutamsea kwa baba yakeNasema uache kujipendekeza kwa CCM kwasababu mgombea wo wa uraisi ameshawatisha wananchi lakini hukuchukua hatua yoyote.
Mgombea wa CCM anawaambia wananchi wasipochagua CCM watajuta na hatawaletea maendeleo. Mlichukua hatua gani?
Kuna vyama viliunga mkono mgombea wa CCM lakini mlikaa kimya. Vingine havikusimamisha kabisa mgombea wa uraisi ili kumuunga mkono JPM.
kwanini sasa ACT wanaposema wanamkubali Lissu muanze kuwaandikia barua za kujieleza? Msitake kutuletea machafuko yasiyo ya lazima.
Nakumbuka neno "EXILE" kuna watu litawahusuNgoja TL achukue nchi sijui ata jificha wapi
SUBIRI KIDOGO
Mwaka 2015 mliweza kuzisimamia kura zisiibiwe?Watanzania tusimamie kura zetu zisiibiwe kwa namna yoyote ile...
Kwani mwaka huu mnakuja na mbinu gani ya kuiba kura?Mwaka 2015 mliweza kuzisimamia kura zisiibiwe?
Jibu swali nililokuuliza!Kwani mwaka huu mnakuja na mbinu gani ya kuiba kura?