Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 4,035
- 11,462
NB. JK ameonekana rasimi ni adui wa Demokrasia nchini, aliamia kuchukua mamlaka ya kujimilikisha uenyekiti wa kikao na kutoa pendekezo la udikteta kwa kulazimisha kupitishwa majina ya wagombea Urais bila kufuata utaratibu wa chama.
Hii maana yake ni kuwa chama kimekiuka miongozo ya katiba ya chama na Sheria ya vyama vya siasa inayovitaka vyama vya siasa kufaata katiba zao.
Kwa maana hiyo ni wazi CCM wanahitaji kuja hadharani kutoa ushuhuda na maelezo ya kina ni kwanini wanavunja katiba yao, lakini pia msajili wa vyama vya siasa anapaswa kutoka hadharani na kukaripia kitendo hiki.
Hii maana yake ni kuwa chama kimekiuka miongozo ya katiba ya chama na Sheria ya vyama vya siasa inayovitaka vyama vya siasa kufaata katiba zao.
Kwa maana hiyo ni wazi CCM wanahitaji kuja hadharani kutoa ushuhuda na maelezo ya kina ni kwanini wanavunja katiba yao, lakini pia msajili wa vyama vya siasa anapaswa kutoka hadharani na kukaripia kitendo hiki.