Msajili wa vyama vya siasa simamia sheria bila uoga

Msajili wa vyama vya siasa simamia sheria bila uoga

Kule hawafanyi uchaguzi, mwenyekiti anapatikana by default. Ukiwa rais tayari ni mwenyekiti.
Kama hakuna uchaguzi wa mwenyekiti kwenye katiba yao msajiri anatakiwa atupe ufafanuzi, hapa ndipo panaonesha kasoro za Msajiri.
 
Any body home?
Msajili simamia sheria bila uoga

Nimeipitia sheria mpya ya usajili vyama vya siasa. Sheria hii inampa msajili mamlaka ya kusimamia chaguzi ndani ya vyama ili kuhakikisha haki imetendeka, taratibu za kupata viongozi zimefuatwa na demokrasia imezingatiwa katika kupata viongozi.

Kwa utaratibu huu wa kuchukuliana form na kuteua anayefaa kugombea nafasi fulani ni vyema msajili aufahamishe umma kama ni sahihi? Asipofanya hivyo mwakani tutaona mambo ya ajabu mno.

Ikithibitika ni kinyume cha mahitaji ya Sheria basi Msajili asisite kutengua matokeo. Nahisi wahusika watadai msajili kawaingilia! Ukweli ni kuwa wanayataka. Hili likiachwa lizoeleke ni hatari mno. Hivi 2015 tungewapa chadema kushika dola si ingekuwa balaa? Rais angetangaza TBC tumemshauri "fulani" agombee ubunge Hai na "fulani" agombee ubunge Rombo. Ewe Mungu tunakushukuru hatukufanya makosa 2015, tungejuta.

Nina hakika ingekuwa Mwenyekiti wa CCM ndiye kachukuliwa form au ndiye katangaza fulani achukue form kuomba umakamu hawa hawa CHADEMA wangeenda hadi BBC na EU kulalamika.

Namshauri Msajili asimamie matakwa ya sheria bila kuona huruma wala soni. Haiwezekani tuwe na chama kinachodai ni cha kidemokrasia lakini uongozi unapatikana kidikteta.
 
Msajili simamia sheria bila uoga

Nimeipitia sheria mpya ya usajili vyama vya siasa. Sheria hii inampa msajili mamlaka ya kusimamia chaguzi ndani ya vyama ili kuhakikisha haki imetendeka, taratibu za kupata viongozi zimefuatwa na demokrasia imezingatiwa katika kupata viongozi.

Kwa utaratibu huu wa kuchukuliana form na kuteua anayefaa kugombea nafasi fulani ni vyema msajili aufahamishe umma kama ni sahihi? Asipofanya hivyo mwakani tutaona mambo ya ajabu mno.

Ikithibitika ni kinyume cha mahitaji ya Sheria basi Msajili asisite kutengua matokeo. Nahisi wahusika watadai msajili kawaingilia! Ukweli ni kuwa wanayataka. Hili likiachwa lizoeleke ni hatari mno. Hivi 2015 tungewapa chadema kushika dola si ingekuwa balaa? Rais angetangaza TBC tumemshauri "fulani" agombee ubunge Hai na "fulani" agombee ubunge Rombo. Ewe Mungu tunakushukuru hatukufanya makosa 2015, tungejuta.

Nina hakika ingekuwa Mwenyekiti wa CCM ndiye kachukuliwa form au ndiye katangaza fulani achukue form kuomba umakamu hawa hawa CHADEMA wangeenda hadi BBC na EU kulalamika.

Namshauri Msajili asimamie matakwa ya sheria bila kuona huruma wala soni. Haiwezekani tuwe na chama kinachodai ni cha kidemokrasia lakini uongozi unapatikana kidikteta.
Acha kupotosha umma wewe, Mbowe kachukua fomu mwenyewe, kuchukuliwa fomu maana yake ni mpaka saini ndani ya fomu yenyewe iwe si ya kwako.

Walichokifanya wale vijana ni kumletea mgombea wao aipokee badala ya kuifuata ofisini na kisha yeye kaichukulia kwao na kuijaza kisha kuisaini.

Ukikutana na ile fomu hakuna sehemu inayoonesha kuwa imechukuliwa na mtu mwingine zaidi ya Mbowe mwenyewe.
 
Hajawahi kutokea wao wasitoe rais, hivyo ILANI yao inaweza ikawa imesema itafute.

Lakini iko hivyo kwao by default rais ndiye mwenyekiti.
Eleza mchakato wa kumpata rais
1995_Mkapa vs Jk
2005_Jk vs Salim vs lowasa
2015_Lowasa vs Membe vs Magufuli
 
Nataka mtu anipatie mchakato wa kuchagua Mwenyekiti wa CCM kuanzia hatua ya uchukuaji wa form hadi mshindi kutangazwa.
 
Jamani Demokrasia yetu CCM sio yenu CDM..hivyo basi Ni vyema Msajili aingalie CHADEMA sababu sisi tumesema Ivo..kila Chama na Demokrasia take..😄😛😛
 
Hukumsikia mwenyekiti wako mgonjwa wa akili akimtaka mtu agombee jumbo la ubungo?
Mkumbushe na lile jimbo la Tandahimba kapewa yule aliyekuwa mkata mauno wa domo. Hilo halioni kabisaaaaaa. Amakweli Kunya anye kuku, Bata hapanaaaaa!!!
 
Msajili simamia sheria bila uoga

Nimeipitia sheria mpya ya usajili vyama vya siasa. Sheria hii inampa msajili mamlaka ya kusimamia chaguzi ndani ya vyama ili kuhakikisha haki imetendeka, taratibu za kupata viongozi zimefuatwa na demokrasia imezingatiwa katika kupata viongozi.

Kwa utaratibu huu wa kuchukuliana form na kuteua anayefaa kugombea nafasi fulani ni vyema msajili aufahamishe umma kama ni sahihi? Asipofanya hivyo mwakani tutaona mambo ya ajabu mno.

Ikithibitika ni kinyume cha mahitaji ya Sheria basi Msajili asisite kutengua matokeo. Nahisi wahusika watadai msajili kawaingilia! Ukweli ni kuwa wanayataka. Hili likiachwa lizoeleke ni hatari mno. Hivi 2015 tungewapa chadema kushika dola si ingekuwa balaa? Rais angetangaza TBC tumemshauri "fulani" agombee ubunge Hai na "fulani" agombee ubunge Rombo. Ewe Mungu tunakushukuru hatukufanya makosa 2015, tungejuta.

Nina hakika ingekuwa Mwenyekiti wa CCM ndiye kachukuliwa form au ndiye katangaza fulani achukue form kuomba umakamu hawa hawa CHADEMA wangeenda hadi BBC na EU kulalamika.

Namshauri Msajili asimamie matakwa ya sheria bila kuona huruma wala soni. Haiwezekani tuwe na chama kinachodai ni cha kidemokrasia lakini uongozi unapatikana kidikteta.
Acha kuweweseka,mwambie msajili hii tabia ya ccm kutochagua mwenyekiti wa taifa haifai.Maana kila anayeshinda urais anakuwa mwenyekiti.Sasa watakaposhindwa sijuwi itakuwaje.
 
Msajili simamia sheria bila uoga

Nimeipitia sheria mpya ya usajili vyama vya siasa. Sheria hii inampa msajili mamlaka ya kusimamia chaguzi ndani ya vyama ili kuhakikisha haki imetendeka, taratibu za kupata viongozi zimefuatwa na demokrasia imezingatiwa katika kupata viongozi.

Kwa utaratibu huu wa kuchukuliana form na kuteua anayefaa kugombea nafasi fulani ni vyema msajili aufahamishe umma kama ni sahihi? Asipofanya hivyo mwakani tutaona mambo ya ajabu mno.

Ikithibitika ni kinyume cha mahitaji ya Sheria basi Msajili asisite kutengua matokeo. Nahisi wahusika watadai msajili kawaingilia! Ukweli ni kuwa wanayataka. Hili likiachwa lizoeleke ni hatari mno. Hivi 2015 tungewapa chadema kushika dola si ingekuwa balaa? Rais angetangaza TBC tumemshauri "fulani" agombee ubunge Hai na "fulani" agombee ubunge Rombo. Ewe Mungu tunakushukuru hatukufanya makosa 2015, tungejuta.

Nina hakika ingekuwa Mwenyekiti wa CCM ndiye kachukuliwa form au ndiye katangaza fulani achukue form kuomba umakamu hawa hawa CHADEMA wangeenda hadi BBC na EU kulalamika.

Namshauri Msajili asimamie matakwa ya sheria bila kuona huruma wala soni. Haiwezekani tuwe na chama kinachodai ni cha kidemokrasia lakini uongozi unapatikana kidikteta.
Hukuona na kuskia mwenyekiti wako akimuagiza Harmonize akagombee ubunge kuleeeee? Pumbavu kabisa
 
Msajili simamia sheria bila uoga

Nimeipitia sheria mpya ya usajili vyama vya siasa. Sheria hii inampa msajili mamlaka ya kusimamia chaguzi ndani ya vyama ili kuhakikisha haki imetendeka, taratibu za kupata viongozi zimefuatwa na demokrasia imezingatiwa katika kupata viongozi.

Kwa utaratibu huu wa kuchukuliana form na kuteua anayefaa kugombea nafasi fulani ni vyema msajili aufahamishe umma kama ni sahihi? Asipofanya hivyo mwakani tutaona mambo ya ajabu mno.

Ikithibitika ni kinyume cha mahitaji ya Sheria basi Msajili asisite kutengua matokeo. Nahisi wahusika watadai msajili kawaingilia! Ukweli ni kuwa wanayataka. Hili likiachwa lizoeleke ni hatari mno. Hivi 2015 tungewapa chadema kushika dola si ingekuwa balaa? Rais angetangaza TBC tumemshauri "fulani" agombee ubunge Hai na "fulani" agombee ubunge Rombo. Ewe Mungu tunakushukuru hatukufanya makosa 2015, tungejuta.

Nina hakika ingekuwa Mwenyekiti wa CCM ndiye kachukuliwa form au ndiye katangaza fulani achukue form kuomba umakamu hawa hawa CHADEMA wangeenda hadi BBC na EU kulalamika.

Namshauri Msajili asimamie matakwa ya sheria bila kuona huruma wala soni. Haiwezekani tuwe na chama kinachodai ni cha kidemokrasia lakini uongozi unapatikana kidikteta.
Huu utakuwa ugonjwa wa kuweweseka akili ,si buree
 
Back
Top Bottom