Msako/ukaguzi wa ghafla kufanyika kwenye simu yako. Cha kwanza kufuta ni nini

Msako/ukaguzi wa ghafla kufanyika kwenye simu yako. Cha kwanza kufuta ni nini

dvj nasmiletz

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2018
Posts
2,079
Reaction score
2,254
Mara pap imetokea msako au ukaguzi tu wa kushtukiza katika simu yako..na ukapata sekunde chache kabla hujapokonywa simu yako kwa ajili ya huo ukaguzi...

Ili kulinda status yako/siri zako utafuta vitu gani kwa fasta fasta?

Meseji?
Xvideo?
Picha?
Namba za simu?
Social networks?
Betting apps?
Au missed calls na received calls
 
Nafuta jf maana huku ndo kuna comment na nyuzi zangu ambazo zinaweza pelekea kufungwa
Huku unamuita meko kwa jina lake na unamwambia ni yeye tundulisu hadi chamwino bila hofu
 
Nafuta application ya JamiiForums, au lasivyo "KEKO" itaniita. Maana ntapewa kesi ya "UHUJUMU UCHUMI/KUKWEPA KODI" ili nisipewe dhamana.
 
unajua ukikutwa na video ya porn kwenye simu yako ni miaka mingapi jela? na jee unaijua tafsiri ya porn kwa mujibu wa sheria? acha niwe kunguru, muda wa kupotea chamber court sina.
Sasa mkuu si bora ufute tu hizo video kuliko factory
 
Hata sihangaiki kufuta kitu Wala nini ikibidi natoa line nawaambia nipeni simu nyengine hii bebeni mkachunguze
 
Hata sihangaiki kufuta kitu Wala nini ikibidi natoa line nawaambia nipeni simu nyengine hii bebeni mkachunguze
Sasa ikikutwa na vitu illegal huogopi msala...au mwenzet simu yako takatifu kote kote
 
Back
Top Bottom