KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Sio jukumu langu hilo.Ujue humo humo kwenye nyimbo unaweza kubananishwa... Kuna nyimbo wanasemaga hazina maadili eti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio jukumu langu hilo.Ujue humo humo kwenye nyimbo unaweza kubananishwa... Kuna nyimbo wanasemaga hazina maadili eti
Sawa mkuu..umesomekaSio jukumu langu hilo.
Mkuu huo msako sio wa intenet browsers peke ake..inaweza kuwa ni full simu...sema ndio unashtukizwa tu paap unafanyajeclear browsing history
Hivi kuna watu bado wanaangalia porn?Mara pap imetokea msako au ukaguzi tu wa kushtukiza katika simu yako..na ukapata sekunde chache kabla hujapokonywa simu yako kwa ajili ya huo ukaguzi...
Ili kulinda status yako/siri zako utafuta vitu gani kwa fasta fasta?
Meseji?
Xvideo?
Picha?
Namba za simu?
Social networks?
Betting apps?
Au missed calls na received calls
Wanazidi kuongezeka mkuu...hasa baada ya kizazi cha ambaluty na ifmHivi kuna watu bado wanaangalia porn?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]clear browsing history
Sina chochote Cha Kufuta ..... Hakika. Akague tuu anayetaka kukagua chochote humo ndani.Mara pap imetokea msako au ukaguzi tu wa kushtukiza katika simu yako..na ukapata sekunde chache kabla hujapokonywa simu yako kwa ajili ya huo ukaguzi...
Ili kulinda status yako/siri zako utafuta vitu gani kwa fasta fasta?
Meseji?
Xvideo?
Picha?
Namba za simu?
Social networks?
Betting apps?
Au missed calls na received calls
NdioHivi kuna watu bado wanaangalia porn?
Best possible place to keep your sh#t ni kichwani mwako! Not on paper of digital platforms/storage.Mara pap imetokea msako au ukaguzi tu wa kushtukiza katika simu yako..na ukapata sekunde chache kabla hujapokonywa simu yako kwa ajili ya huo ukaguzi...
Ili kulinda status yako/siri zako utafuta vitu gani kwa fasta fasta?
Meseji?
Xvideo?
Picha?
Namba za simu?
Social networks?
Betting apps?
Au missed calls na received calls
Hahahahah yaani wewe Ni Kama Mimi tuReset factory setting, haya shika.
Mmh nasikia kwenye meseji huwa presha haikaagi sawaSina chochote Cha Kufuta ..... Hakika. Akague tuu anayetaka kukagua chochote humo ndani.
Mkuu unataka kuniambia simu yako haina privacy yeyote??Best possible place to keep your sh#t ni kichwani mwako! Not on paper of digital platforms/storage.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Simu haina privacy hata kidogo... Always kunauwezekano wa watu kupata taarifa zako... Na kwa technologia ya leo..hujui nani anakuchingulia with apps doiny it for the third part...Mkuu unataka kuniambia simu yako haina privacy yeyote??
Sina passcode wala pattern wala nnMkuu unataka kuniambia simu yako haina privacy yeyote??