Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Paka mate niteleze kama nyoka pangoniUjue humo humo kwenye nyimbo unaweza kubananishwa... Kuna nyimbo wanasemaga hazina maadili eti
Sasa hapo unapokea tu ujumbe na msako ndo unaanzaSimu haina privacy hata kidogo... Always kunauwezekano wa watu kupata taarifa zako... Na kwa technologia ya leo..hujui nani anakuchingulia with apps doiny it for the third part...
Store your most important things kichwani.. unaweza ukaweka mambo mengi kwenye simu halafu ukadondosha na heshima yako ikaishia hapo... Maana atakaye okota hujui atatumiaje taarifa hizo...
Hakikisha ukishasoma ujumbe sensitive futa.. na ikibidi mpigane simu muonane mpeane taarifa nyeti... Usipokee taarifa nyeti over the phone..
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Simu kubwa au ndogo?
Hakuna nitakachofuta.
Simu yoyote tu..iwe kubwa au ndogo..ili mrad ni ile unayotumia wewe...je ni kweli hakuna utakachofuta??Hakuna nitakachofuta.
Hahaha..umeona sasaPaka mate niteleze kama nyoka pangoni
Kwa kesi ya hiyo ,kuna vitambuilisho mbalimbali vyeny jina na picha watu wanatembea navyo..Sina passcode wala pattern wala nn
Unakuta mtu ame-encrypt simu level tatu.. anaanguka barabarani wanaomukota wanataka kumpigia mtu wa jirani (next of kin) hawawezi maana simu haifunguki..
Unaweza kukuta watu wako wangetoa maelekezo kwa tatizo la kudumu ..ukapata msaada wa kwanza... Au hata nduguzo kuweza kufika hospitali kwa ishu ya dharura kama ajali.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
YeyoteSimu kubwa au ndogo?
Meona eehKwa kesi ya hiyo ,kuna vitambuilisho mbalimbali vyeny jina na picha watu wanatembea navyo..