dvj nasmiletz
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,079
- 2,254
mkuu are u seriousReset factory setting, haya shika.
ina maana simu yako ina magendo mwanzo mwisho???? HahahaFactory reset
Huku unamuita meko kwa jina lake na unamwambia ni yeye tundulisu hadi chamwino bila hofuNafuta jf maana huku ndo kuna comment na nyuzi zangu ambazo zinaweza pelekea kufungwa
unajua ukikutwa na video ya porn kwenye simu yako ni miaka mingapi jela? na jee unaijua tafsiri ya porn kwa mujibu wa sheria? acha niwe kunguru, muda wa kupotea chamber court sina.mkuu are u serious
Hahaha afu unakuta tu kumbe jamaa wanakagua tu kama lain yako inasapoti 4gNafuta jf maana huku ndo kuna comment na nyuzi zangu ambazo zinaweza pelekea kufungwa
Sasa mkuu si bora ufute tu hizo video kuliko factoryunajua ukikutwa na video ya porn kwenye simu yako ni miaka mingapi jela? na jee unaijua tafsiri ya porn kwa mujibu wa sheria? acha niwe kunguru, muda wa kupotea chamber court sina.
Muda mkuu, umesema una sekunde chache au masaa machache?Sasa mkuu si bora ufute tu hizo video kuliko factory
Sekunde chacheMuda mkuu, umesema una sekunde chache au masaa
Sasa ikikutwa na vitu illegal huogopi msala...au mwenzet simu yako takatifu kote koteHata sihangaiki kufuta kitu Wala nini ikibidi natoa line nawaambia nipeni simu nyengine hii bebeni mkachunguze
Takatifu Labda wakasikilize miziki tu..😂Sasa ikikutwa na vitu illegal huogopi msala...au mwenzet simu yako takatifu kote kote
Ukaguzi tu wa kushtukiza...anaeza kuwa mpenzi,rafiki,serikali,mzazi,mwalimu n.kSimu ni yako, kwanini ikaguliwe? Kama ni mpz basi atakuwa lofa.
Ujue humo humo kwenye nyimbo unaweza kubananishwa... Kuna nyimbo wanasemaga hazina maadili etiTakatifu Labda wakasikilize miziki tu..😂