Avunje bunge? Kwani urais hautaki? Mbona ataishia kakipindi alichokwisha tawala?
Risk hiyo hawezi kuichukua.
Ndugai ana wakati mgumu sana;
-Wananchi hawawezi kumsamehe kwa jinsi alivolifanya BUNGE
-Raisi hawezi kumsamehe kwa kumzodoa kuhusu MIKOPO
-Mungu hawezi kumsamehe Maana alimsingizia Mwanae(Yesu) kuwa alikua na Mke
- Watu wa Ikungi hawatamsamehe, alimyima Tundu Lissu mshahara, matibabu na kumfukuza ubunge
~Hana pa kutokea amebakiza kwa Shetani tu
Polepole amesema hakuna upinzani nchi hii
Kutotambua katika siasa kuna agenda za kudumu si marafiki wala maadui kwa hapa kwetu kuna tuangusha.
Kwa hakika la Ndugai na Polepole linaanguka kwenye agenda za muda mrefu za upinzani.
Palitakiwa mipango mikakati ya kucheza na mipira "lose" kama hii.
Timu ya mpira inataka mabao siyo kuwa yamepatikana je.
Do you believe him?Polepole amesema hakuna upinzani nchi hii
Chadema watakuwa wajinga wakirudia makosa waliyofanya kwa Lowassa, Sumaye na Nyalandu.Ndugai kama binadamu alitoa mawazo yake kwa mtazamo wake. Hata hivyo bila shaka nje ya alichokiamini, kwa nia njema alilazimika kuomba msamaha.
Pamoja na kuomba msamaha kwa nia ya kuwaridhisha wakubwa kinyume cha utaratibu kumbe vita ndiyo bado asubuhi.
Alitoa mawazo yake pia Polepole kwa wakati wake. Huyu kaishia kuwekwa kufuli baada ya kujaribu kukomaa:
View attachment 2068711
Mtu mzima hatishiwi nyau!
Ndugu waungwana wenye kuzielewa hoja za bwana Ndugai - Aluta Continua.
"Bungeni kuna kura ya kukosa imani na mtaani kuna tuojisikia kuzibwa midomo."
Vyama vya siasa agenda zenu kuhusu uhuru wa maoni zinasema je? Kwani nyie mko na uadui wa kudumu na watu? Misahafu si inasema adui yako mpende?
Haipo namna ya kuchachandua uwezekano wa kupatikana katiba tofauti hapa yenye kutufaa sote?
Au kwetu ushabiki ndiyo dili na kila apambanae ni mchuma janga tu kwa wakati wake?
"Ndugai vs uliojichimbia zaidi ngoma bado mbichi."
Tanzania bora zaidi yaweza kuzaliwa hapa!
Poleni sana, leo ndio ameamua kuwapa za uso sukuma gang!!hayo mamiradi lukuki yaliyoanzishwa kwa kukurupuka pesa zake za kuyaendeleza ujenzi zinatoka wapi?eti trilioni 10 kwa madawati!!huyo shujaa wenu aliyekuwa anasema hakopi , ila daa mungu fundi sana, kwani ametuepushia mengi!!vyovyote iwavyo, kukopa trillion 10 ndani ya miezi 9 kwa ajili ya madawati hatuwezi kukubali, hili lazima liondoke na mtu!
Hii mada haihusiani chochote na hiki ulichoandika hapa, hapa zinazungumziwa issues wewe unazungumzia watu.Chadema watakuwa wajinga wakirudia makosa waliyofanya kwa Lowassa, Sumaye na Nyalandu.
Mwacheni kila mtu apambane na hali yake mwenyewe.Ndugai kama binadamu alitoa mawazo yake kwa mtazamo wake. Hata hivyo bila shaka nje ya alichokiamini, kwa nia njema alilazimika kuomba msamaha.
Pamoja na kuomba msamaha kwa nia ya kuwaridhisha wakubwa kinyume cha utaratibu kumbe vita ndiyo bado asubuhi.
Alitoa mawazo yake pia Polepole kwa wakati wake. Huyu kaishia kuwekwa kufuli baada ya kujaribu kukomaa:
View attachment 2068711
Mtu mzima hatishiwi nyau!
Ndugu waungwana wenye kuzielewa hoja za bwana Ndugai - Aluta Continua.
"Bungeni kuna kura ya kukosa imani na mtaani kuna tuojisikia kuzibwa midomo."
Vyama vya siasa agenda zenu kuhusu uhuru wa maoni zinasema je? Kwani nyie mko na uadui wa kudumu na watu? Misahafu si inasema adui yako mpende?
Haipo namna ya kuchachandua uwezekano wa kupatikana katiba tofauti hapa yenye kutufaa sote?
Au kwetu ushabiki ndiyo dili na kila apambanae ni mchuma janga tu kwa wakati wake?
"Ndugai vs uliojichimbia zaidi ngoma bado mbichi."
Tanzania bora zaidi yaweza kuzaliwa hapa!
Ila Mama anaenda kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye na ndiyo utakuwa mwisho wake na wanaweza kumshitaki akafungwa.Kwa kauli zile za Mama, hata huo msamaha wa JN inaonekana amefanya kwa shinikizo baada ya kutonywa kwa yajayo. Lazima kuna mtu kavujisha siri ili amuokoe Mzee wa Galilaya. Wakaona kuomba radhi hadharani inaweza kunusuru.
Hii nchi ni ngumu sana,tunarudi 2005-2015vyovyote iwavyo, kukopa trillion 10 ndani ya miezi 9 kwa ajili ya madawati hatuwezi kukubali, hili lazima liondoke na mtu!
Kuomba msamaha bila kujua kosa lake ndio kosa alilofanya Ndugai, mwenyewe anasema alitoa maoni yake kwa nia njema, matokeo yake kumuomba kwake msamaha mjinga ndio malipo yake ameyavuna leo.
Mjinga siku zote huwa haombwi msamaha kwani kwa kufanya hivyo atazidi kuwa mjinga kwa kuamini ujinga wake ni maarifa, na atazidi kuwadharau waliomzidi maarifa matokeo yake atazidi kuwatumbukiza shimoni anaowaongoza.
Ila Mama anaenda kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye na ndiyo utakuwa mwisho wake na wanaweza kumshitaki akafungwa.
Sasa ishakua dhahiri pasi shaka kwamba vita kamili imeanza.Ila Mama anaenda kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye na ndiyo utakuwa mwisho wake na wanaweza kumshitaki akafungwa.
Mwacheni kila mtu apambane na hali yake mwenyewe.
Sasa ishakua dhahiri pasi shaka kwamba vita kamili imeanza.
Chadema watakuwa wajinga wakirudia makosa waliyofanya kwa Lowassa, Sumaye na Nyalandu.
Hizo ajenda zote wapinzani tunaweza kuzisimamia bila kutegemea mshikamano wowote na hao wachumia tumbo. Hatuko tayari kuungana na wahuni, kisa ajenda zetu kwa bahati mbaya na wao wameziangukia. Hao wahuni wapambane na hali zao, lakini sisi sio wa kuwapa ahueni kwenye vita yao ya madaraka.
Hahaaaa!!!hilo haliwezekani kamwe kwa siasa za kiafrika!!kwanza kwa michambo hiyo wote walio nyuma ya Ndugai wamesha kula kona!!na leo sasa ndio ametangaza kiama baina yake na sukuma gang!!ila Mungu anatisha kweli Ndugai wa mwaka mmoja tu uliopita alivyokuwa anawafanyia wenzake leo ni ya kumkuta haya?!!Ila Mama anaenda kupigiwa kura ya kutokuwa na imani naye na ndiyo utakuwa mwisho wake na wanaweza kumshitaki akafungwa.