Mafiningo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 4,435
- 4,662
Rafiki yako akikujengea kanyumba halafu akamgegeda wifey wako ni wazi wewe utampongeza sanaSasa kama unaona barabara zinajengwa kwa kasi na maendeleo ni makubwa kwa nini mnampinga Rais Magufuli aliesimamia hayo?