Msamaha wa Madeni: China yashutumiwa kwa Mikopo ya Mitego kwa Nchi za Afrika

Msamaha wa Madeni: China yashutumiwa kwa Mikopo ya Mitego kwa Nchi za Afrika

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Baada ya Waziri wa Mambo ya Nje kutangaza Agosti 20, 2022 kwamba nchi hiyo inasamehe mikopo 23 kwa nchi 17 za Afrika, huku ikiahidi kuimarisha uhusiano wake na nchi hizo baadhi ya wanadiplomasia wameiita hatua hiyo ni ”diplomasia ya mtego wa madeni”

Wakosoaji hao wameituhumu China kwa Kukopesha kimakusudi nchi ambazo inajua haziwezi kulipa pesa hizo, na hivyo kuongeza nguvu yake ya kisiasa japokuwa wanakataa vikali madai hayo

Aidha, hadi sasa China haijaweka wazi orodha ya Nchi wanufaika wa msamaha huo

.......................................

A recent announcement by China that it is forgiving 23 loans for 17 African countries may be motivated by accusations of "debt-trap diplomacy," say some analysts.

Critics have long accused Beijing of practicing debt-trap diplomacy, suggesting it deliberately lends to countries that it knows cannot repay the money, thereby increasing its political leverage. China vehemently rejects this, alleging it's a way for the U.S. to discredit Beijing, Washington's main challenger in the quest for influence in Africa.

China's decision to forgive the zero-interest loans is, in part, aimed at countering the debt-trap narrative, said Harry Verhoeven, senior research scholar at Columbia University in New York.

"It is not uncommon for China to do something like this [forgive interest-free loans] … now obviously it is connected to the overall debt-trap diplomacy narrative in the sense that clearly there's a felt need on the part of China to push back," Verhoeven told VOA.

FILE - Zambia's then- President Edgar Lungu, left, meets and greets Chinese workers from Aviation Industry Corporation of China in Lusaka, Zambia, Sept. 15, 2018. China has been playing a role in restructuring the external debt of some African countries such as Zambia.

China's announcement did not specify the countries or the amount of loan forgiveness, but analysts say that since 2000, China has regularly forgiven loans that are nearing their end but have a small balance.

"This is not a loan cancellation per se, but the cancellation of the remaining unpaid portion of interest-free loans that have reached maturity, that is if a loan was supposed to be fully paid off over 20 years, but it still has an outstanding balance, they cancel that outstanding balance," Deborah Brautigam, director of the China Africa Research Initiative at Johns Hopkins University's School of Advanced International Studies, told VOA.

Source: VoA
 
Mi namsubiri ruto tu atimue wachina nihamie kenya,
Manake hapa bongo biashara zote wameshika wao
 
Yawezekana maana tunaona ndiyo nchi inayopendelea kushikilia baadhi ya rasimali za nchi husika katika mataifa ya Afrika, kisa mikopo.
 
Back
Top Bottom