KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Hapana mkuu.Masukuma yalijitia Hii Nchi ni Yao.
KinyeoKama yule mwenyekiti wa uvccm hivi ni jina gani anastahili kuitwa?
Wasukuma sasa macho yanawatoka kama mjusi aliye banwa na mlango
Mbona inajulikana kwa nini wachaga waliona kama wanaonewa lakini ni ukweli usiopingika kuwa wachaga walikuwa wanafaidika sana na ufisadi wa siku za nyuma ndiyo maana walipoanza kushughulikiwa waliona kama wanalengwa wao wakati walikuwa wanalengwa mafisadi na si ukabila.Mkuu, hata usingekuwa msukuma, bado ingefadhaisha sana kusikia mijadala ya namna hii.
Lakini kumbuka, hili si jipya hata kidogo.
Kwa bahati mbaya sana, jambo hili limechagizwa sana wakati wa utawala wa Magufuli, na hakuna aliyelikemea.
Kwa hiyo pamoja na kufadhaika, fahamu kwamba hali hii haikuibuka ghafla hivi. Ni hali ambayo imeanza kuota mizizi na kushamiri wakati wa utawala wa Magufuli.
Lazima kutakuwa na sababu muhimu kwa nini iwe hivi.
Mama aongezewe muda atake asitake na akikataa alazimishwe🤣🤣🤣Mimi naendelea poa sana tu wewe naona unahangaika na Hayati hiyo ni ishara tosha kuwa Hayati alikupa kibano cha kutosha na hutamsahau katika maisha yako. Vipi biashara yako ya madawa ya kulevya utairudia tena?
Jameni, hivi mbona hatuelewani kwa jambo rahisi namna hii?Mbona inajulikana kwa nini wachaga waliona kama wanaonewa lakini ni ukweli usiopingika kuwa wachaga walikuwa wanafaidika sana na ufisadi wa siku za nyuma ndiyo maana walipoanza kushughulikiwa waliona kama wanalengwa wao wakati walikuwa wanalengwa mafisadi na si ukabila.
Inaonekana walikupelekea moto matakoniHalafu ni Majinga sana.
Daah! Basi sawa mkuu.Mkuu, hata usingekuwa msukuma, bado ingefadhaisha sana kusikia mijadala ya namna hii.
Lakini kumbuka, hili si jipya hata kidogo.
Kwa bahati mbaya sana, jambo hili limechagizwa sana wakati wa utawala wa Magufuli, na hakuna aliyelikemea.
Kwa hiyo pamoja na kufadhaika, fahamu kwamba hali hii haikuibuka ghafla hivi. Ni hali ambayo imeanza kuota mizizi na kushamiri wakati wa utawala wa Magufuli.
Lazima kutakuwa na sababu muhimu kwa nini iwe hivi.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]mitano tenaWasukuma sasa macho yanawatoka kama mjusi aliye banwa na mlango
Nyani haoni kundule nyie sukuma gang ushamba wenu na madudu yenu mnasingizia wachagga?Mbona inajulikana kwa nini wachaga waliona kama wanaonewa lakini ni ukweli usiopingika kuwa wachaga walikuwa wanafaidika sana na ufisadi wa siku za nyuma ndiyo maana walipoanza kushughulikiwa waliona kama wanalengwa wao wakati walikuwa wanalengwa mafisadi na si ukabila.
Wasukuma sasa macho yanawatoka kama mjusi aliye banwa na mlango
Ni kweli lakini haya yote aliyapandikiza mwendazake
Mimi mbona sio mchaga lakini nalalamikia huu USUKUMA GANG??? Ukabila mbaya sana( Alafu nilishawahi kuhoji kwanini wanaolalamika ukabila wa Magufuli ni wachaga tu) Hapa umechapia hao ni kabila dogo sana klk ukweli ulio wazi kuhusu tabia ya kibaguzi ambayo ilipaliliwa na awamu ya tano. na mbaya zaidi hamuwezi kuizuia hata sasa mwataka iendelee
Ukabila haufai kwa taifa letuMimi mbona sio mchaga lakini nalalamikia huu USUKUMA GANG??? Ukabila mbaya sana
Ushawai ona mchaga anachagua kabila lingine limuongoze?Kwahio na serikali iingilie kati huu upuuzi kati ya wapuuzi wa kubaguana ?, Tumeshatoka huko ambapo serikali / kiongozi iliona / waliona sifa kupeleka maendeleo kwao sababu watazikwa huko na pia kuwashangaa watu iweje wachague mtu ambae sio wa kwao...
Kazi aliyofanya Mwalimu kwa karne za kutosha imeharibiwa kwa miaka michache
Mchagga ndio alikuwa Rais ? Sababu kuna wachawi haimaanishi wote tuwe wachawiUshawai ona mchaga anachagua kabila lingine limuongoze?
Ushawai ona mchaga anachagua kabila lingine limuongoze?Kwahio na serikali iingilie kati huu upuuzi kati ya wapuuzi wa kubaguana ?, Tumeshatoka huko ambapo serikali / kiongozi iliona / waliona sifa kupeleka maendeleo kwao sababu watazikwa huko na pia kuwashangaa watu iweje wachague mtu ambae sio wa kwao...
Kazi aliyofanya Mwalimu kwa karne za kutosha imeharibiwa kwa miaka michache
wachaga ni wabaguzi sana na ndio wanaeneza sumu mbaya dhidi ya wasukuma. Yani wao wakiungwa mkono ni demokrasia ila wasukuma wakiungwa mkono ni ukabila. Ndio maana chadema haitakaa itoboe tena usukumani.Mchagga ndio alikuwa Rais ? Sababu kuna wachawi haimaanishi wote tuwe wachawi
Uzuri hamna msukuma atakaa awe rais wa hii nchi tena. Hata ccm wamejifunzaUzuri mtakuja 2025 kuwaomba kura! Au kampeni zenu zitakuwa ni Moshi na Arusha peke yake?
Na msukuma hatakuwa rais tena kamwe. Labda muanzishe Jamhuri yenu ya WasukumaNdio maana chadema haitakaa itoboe tena usukumani
Tanzania ina makabila mawili ? Ubaguzi ni ubaguzi tu no matter nani anautoa..., cha kusikitisha hizi ni fikra potofu zisizo na tija..., Kama Mtanzania sihitaji passport kuishi au kwenda popote pale wanaojidanganya hapa ni kwao / wamiliki pekee wa sehemu fulani nasikitika kusema kwamba wamepitwa na wakati...Ushawai ona mchaga anachagua kabila lingine limuongoze?
wachaga ni wabaguzi sana na ndio wanaeneza sumu mbaya dhidi ya wasukuma. Yani wao wakiungwa mkono ni demokrasia ila wasukuma wakiungwa mkono ni ukabila. Ndio maana chadema haitakaa itoboe tena usukumani.