Gidbang
JF-Expert Member
- Jun 1, 2014
- 4,482
- 3,999
Basi wacha tuiite PushGangHili neno limeanzishwa na wachaga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi wacha tuiite PushGangHili neno limeanzishwa na wachaga.
Eeenh Heee.Wachagga Bwana wakiguswa wanatoa Waraka kabisa na povu kama lote.Ila nyinyi kukejeli Wasukuma ni ruksa si ndiyo.
LOooo!Unawajua Wasukuma au unawasikia,Ikulu kwa CHADEMA mtaisikia “Viusasa”.Hapa sisi tutaenzi chama cha Mwendazake JPM,yoyote atakaepitishwa na CCM kwa Wasukuma huyo huyo atapigiwa kura tena kwa wingi.
Bush push!Basi wacha tuiite PushGang
wachaga ndio kabila pekee wanachaguana wenyewe kwa wenyewe, ndio maana hawajai kuchagua mbunge kabila lingine.
Ukijibiwa nitag Mkuu,Jimbo la Ilemela lilishawahi ongozwa na Mchagga,je Moshi Masanja anaweza kwenda kuwa Mbunge wao?
Jamaa alikuwa mbinafsi kupindukia. Na fisadi nyangumi kabisa.
Majizi tu hamna lolote. Zitto alivyosema nyie ni washamba aliwapatia sana. Hamna cha maana mlichofanya zaidi ya kujenga airport kijijini na kuitia nchi kwenye madeni. Nyie hamna kitu mnaweza zaidi ya kuwa shamba boy
Eeenh Heee.
Nyamizi, wewe sio mchaga wala sio Msukuma, sasa umejuaje kwamba mimi ni mchaga kama si kihelehele kingi unachoonyesha katika michango yote humu JF?
Umejipambanua kuwa kwenye timu mbovu kabisa ya akina Coccochannel na Jane Lowassa...; hivi mnapeana zamu ya kuja kuweka uchafu wenu humu?
LOooo!
Sina la ziada juu yako.
Unajieleza vyema bila ya kuongeza chochote juu yake.
Unajionyesha kama kisichana kilichovunja ungo hivi karibuni, vipi bado hujaizoea vyema hali yako?Sukuma Gang hoyeee! Hapana chezea kina Ngosha,karibu Mwanza twende Busisi-Kigongo ukaone kazi inaendelea ya JPM Bridge. Tukitoka hapo tuzungukie barabara safi za viwango vya lami kali (siyo kama ile ya Dar- Moshi) si ulijionea mwenyewe kutoka Mwanza to Chato,tukimaliza turudi pale Airport Mwanza uone upanuzi Mkubwa uliofanyika,ukizidiwa na hasira utakula Sato wa kuchoma na Matobolwa ushushe pressure [emoji3][emoji3][emoji3]. CCM na itawale 100 yrs to come.
Meko aliasist ukabila kwa kuona kanda pendwa ni bora sana sasa wanaanza kulia huu ni unafiki wa kiwango kikubwaNipo natafakari namna nchi hii imekuwa, hakuna jambo baya kama kumtambua mtu na kumponda kwa kutumia kiashiria cha kabila lake.
Hivi karibuni kumezuka tabia ya watumiaji wa mitandao hasa katika maswala ya kisiasa kutumia neno SUKUMA GANG kama utambulisho wa watu fulani waliokuwa wanafanya kazi kwa karibu na aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania hayati John Pombe Magufuli.
Binafsi neno hili naona linaweza leta matatizo ya kijamii kama ambavyo maneno Intarahamwe, facism, na mengine ya namna hiyo yalivyopelekea matatizo kwenye jamii.
Hivyo kutokana na neno hili kuwa na mlengo wa kibaguzi na chuki ni heri mamlaka kupiga marufuku matumizi ya neno hili pia niwaombe wahusika wanaotumia neno hili kuacha mara moja.
Unajionyesha kama kisichana kilichovunja ungo hivi karibuni, vipi bado hujaizoea vyema hali yako?
Ngoja nikuache na hali yako, usije ukanisingizia kuwa nimekuzidishia maumivu.
Mkuu kwani Mrisho Gambo ni mchanga? Wachaneni na hizi hoja dhaifu.
Sawasawa gosha, rudini kwenye fani zenu za asili kama kucheza na chatu nkKila lakheri huko mjini shekhe.
Au malampaka[emoji3][emoji3]Labda rais wa Ibadakuli
Simply kwasababu kimara asilimia kubwa Ni wachagaNamkumbuka akiwa Mwanza alizuia nyumba zisibomolewe kisa walimpigia kura wakati Kimara walibolewa Kama kawaida
Tuliza mshono dawa ipenye,nyie si mlikuwa mnaonyesha chuki za wazi sasa mnalalama nn?Waache,hawajui huku kwetu ni empire kubwa kuliko maelezo,kilicholeta ukanda na ukabila ni watu wa Chadema.
Tukiamua kuingia mazima kwenye kugombea madaraka hakuna rangi mtaacha ona.
Watubague tu na kututukana na wengi waonaotumia usemi huu wa kishenzi ni watu wa Kaskazini (CHAGA) na washirika wake
Wanadhani kitu hiki hakina madhara,kikimea kitaathiri sana vizazi vyao huko mbele,mzungu amegombanisha nchi kwa kujaza watu ujinga kama huu,leo tunaona waTanzania wako nje ya nchi wakitukana Ardhi yao waliyo zaliwa na mamlaka zilizoyokana na koo zao wenyewe,sababu ni ulafi wa madaraka na pesa
Wewe Ni mpuuzi mkuu, wachaga wezi? Vipi escrow,meremeta,nk waliiba wachaga? Ripoti ya C.A.G imetaja ubadhirifu mkubwa ktk serikali ya jiwe vipi Ni wachaga?Dunia nzima inajua wachaga ni wezi, wana roho mbaya, wabinafsi, wakabila na wamejaa tamaa ya kila kitu.
Karibuni usukumani 2025 na chadema yenu chama cha kichaga na kilutheli. Mmetangaza vita ngumu sana kwenu.