Msamvu, Morogoro: Vibanda 8 vya biashara katika eneo la Stendi ya Mabasi vyateketea kwa moto

Msamvu, Morogoro: Vibanda 8 vya biashara katika eneo la Stendi ya Mabasi vyateketea kwa moto

Kurzweil

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
6,621
Reaction score
8,411
Moto ambao haujafahamika umesababishwa na nini umewaka na kuteketeza vibanda vya biashara takriban 8 katika eneo la stendi ya Msamvu, usiku wa kumakia leo

Akizungumza baada ya kuudhibidti moto huo, Kamanda wa Uokoaji na Zimamoto mkoani humo, Godluck Zerote amesema hakuna mtu aliyedhurika bali mali peke yake

Amesema eneo hilo vibanda hivyo vimebanana sana vikiwa zaidi ya 20 hivyo baada ya kuudhibiti moto ndio wataanza kuangalia thamani ya mali na chanzo cha moto

 
Wanabodi,

Kuna taarifa kuwa majengo yaliyopo kwenye stendi ya mabasi ya Msamvu mkoani Morogoro yanaungua Moto usiku huu

Habari zaidi kufuatia
 
Kuna matatizo makubwa sana pale, ukienda tu vyoo huduma mbovu, sidhani kama kuna uongozi pale zaidi ya magenge ya waharifu na wezi. Ni dhahiri private sector ni muhimu ktk kuongoza miradi ya kimkakati.
 
Kuna matatizo makubwa sana pale, ukienda tu vyoo huduma mbovu, sidhani kama kuna uongozi pale zaidi ya magenge ya waharifu na wezi. Ni dhahiri private sector ni muhimu ktk kuongoza miradi ya kimkakati.

Naunga mkono hoja...! Hizo hela za tozo tunazotozw sijui zinaenda wapi jamani!...magari 500...waingia ndani 300! Ovyo sana!
 
Back
Top Bottom