Si unajua wazee wa matukio[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe tena!? Nimepamis hapo.. Sema naonaga kelele sana ... Sijakaa miaka almost 2! Mambo vip boss!.. Jumamosi kama utakuwepo tukae hapa Don[emoji6]! Ndio chimbo nalolipenda ati!
Hajafa mtu.... Sema Mali ziliharibikaHebu chukua tahadhari mkuu, jikinge. Bado tunakuhitaji sana.
Ni hitilafu ya umeme au chanzo ni nini? Walifanikiwa kuuzima kwa wakati kabla madhara makubwa kutokea?
Shukrani
Kwamba ajali ilitokea Msamvu stendi bro?Msamvu B iko kata ya Kihonda Maghorofani, Iko mbali sana na Msamvu Stand,
Msamvu stand ndio sehemu ilipotokea ajali,
Huyo mwamba alisema Itigi, Itigi nibar/guest house vijana walikuwa wanajiponea iko Msamvu
Sasa anadhani Itigi ni mtaa, ilhali hakuna mtaa wa Itigi, Msamvu
Duh, Mungu atunusuruMoto ambao haujafahamika umesababishwa na nini umewaka na kuteketeza vibanda vya biashara takriban 8 katika eneo la stendi ya Msamvu, usiku wa kumakia leo
Akizungumza baada ya kuudhibidti moto huo, Kamanda wa Uokoaji na Zimamoto mkoani humo, Godluck Zerote amesema hakuna mtu aliyedhurika bali mali peke yake
Amesema eneo hilo vibanda hivyo vimebanana sana vikiwa zaidi ya 20 hivyo baada ya kuudhibiti moto ndio wataanza kuangalia thamani ya mali na chanzo cha moto
View attachment 1464111
Wafanyabiashara wajifunze kuweka insurance kwenye mali zao (biashara), vile vile watu wajiwekee insurance kwa nini wategemee wengine wawafanyie hivyo? Tozo zinazokatwa ni kwa mujibu wa sheria haziwezi kuwa insurance.Majanga yatupe somo kuboresha jeshi la zima moto, tozo ni nyingi kuanzia mfanyabiashara duka,.... nashauri tozo hizo ziwe kama Bima, ili ikitokea ajali wahanga wafidiwe.
Nilidhani The Don ya Chuga kumbe ni Don ya Moro.🤣🤣🤣 wewe tena!? Nimepamis hapo.. Sema naonaga kelele sana ... Sijakaa miaka almost 2! Mambo vip boss!.. Jumamosi kama utakuwepo tukae hapa Don😉! Ndio chimbo nalolipenda ati!
Nilidhani The Don ya Chuga kumbe ni Don ya Moro.
Wangari Maathai uko poa?
Poa poa!Ile lazima niende...naionaga tu insta!...huku pia iko kwa Don! Kijiwe cha classmate!niko poa mkubwa wangu sijui ww
Si unajua wazee wa matukio
Mm nna nyota ya kukutana na matukio, visanga basi shidaa tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Kelele si ndy poa hulali pale pako poa kama unataka kukesha
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Ni mita chache sana kutoka msamvu hata mtoto wa miaka 2 anatembea na kufika! Nadhan kwa gari ni dk 1 kutoka msamvuKwamba ajali ilitokea Msamvu stendi bro?
hapo itigi pia ni msamvuHalikuanguka hapo msamvu...Ni mitaa ya Itigi.
Au ulikuwepo eneo la tukio?
Sawa sawa ningekuwepo ningekimbilia Star park[emoji28][emoji28]
Mafisa.hapo itigi pia ni msamvu
Kata ni Mafisa.Kuna watu wakisikia Msamvu wanajua ni pale kituoni...Hivi huwa ni jina la mtaa au kata?
Na hizo Msamvu A na B zipo kama unaelekea mjini kule karibu na mtawala.Nadhan ni kata ile!..mie hata sina hakika...ila sio mtaa kuna msamv A na B
Huu ni utaalamu wa viongozi wetu katika kuondoa eneo la biashara ambalo halina mpangilio mzuri, matukio mengi ni ya kupangwa believe me.Aisee alafu mara nyingi ajali za moto huwa zinatokea usiku, sijajua hapa huwa ni kwa nini hasa!
Na hizo Msamvu A na B zipo kama unaelekea mjini kule karibu na mtawala.
Ni sawa na ajali itokee pale ubungo maji halafu useme imetokea ubungo stand kiufupi sio msamvu ila ni Kama km 0.5 toka msamvu zamani palikuwa na kiwanda Cha uchapishaji nyuma yake pana Gest mpya nzuri na hapo hapo pana bar karibu na mafundi wa kutengeneza magari kwahiyo sio msamvu kabisa.Halikuanguka hapo msamvu...Ni mitaa ya Itigi.
Au ulikuwepo eneo la tukio?