if they have evindence they should reveal it....words is nothing...
Odinga akubali amesha shindwa twajua kuwa kukubali kushindwa kwa mara ya kwanza huwa ni ngumu lakini it will take time and time will heal them.....they should accept.
They had tallying center...but we did not see those results.
Yes, then wanablame government na ku incite the public. Wacha tuone after results are announcedThey might be responsible on Msandos death.....
They might be responsible on Msandos death.....
Heee basi chinjaneniWewe ndio mpumbavu kukubali ujinga alioufanya mpumbavu! Kwani aliyefanya asingeacha wananchi walivyotaka iwe! Shame on you!!!!
What happened to NASA parallel tally? NASA publish results for comparison.
Interesting to say the least.
Huwa simuelewi raila, juzi alisema hawezi kuibiwa ana vituo angani ( clouds) nje ya nchi mpaka ulaya, sa hvi analia tena.
Bahati nzuri waliyonayo wakenya mahakama inafanya kazi ipo independent.
Mwisho nimesikiliza kwenye tv mahali penye shida ni issue ndogo ni hvi, baada ya kupiga kura wakala wa mgombea husaini fomu 34A inayonyesha alichopata diwani kwenda juu mpaka rais kama wamekubaliana na mwakilishi wa kituo R.O, wakala husaini hiyo fomu na kutumwa kwa mtandao makao makuu ya tume.
Sasa raila anasema mtandao wa tume umeingiliwa lakini hasemi mahesabu ya mawakala wake ili yalinganishwe na kinachotangazwa na tume.
Sent using Jamii Forums mobile app
kuna probability kubwa sana msando aliuliwa na NASA...... as things stand......Akubali tu kushindwa for the benefit of his country Kenya.Ila Msando kufa kumesababisha magumashi kwa kweli.
mfahamishe SIZONJE mwambie BEST WAKE analia😱 kaibiwaif they have evindence they should reveal it....words is nothing...
Odinga akubali amesha shindwa twajua kuwa kukubali kushindwa kwa mara ya kwanza huwa ni ngumu lakini it will take time and time will heal them.....they should accept.
They had tallying center...but we did not see those results.
You cannot condone stupid behavior for the sake of peace, if evidence is there, Kenyans should fight for their right. Haki inatafutwa kwa gharama kubwa. ikibidi kumwaga damu imwage. wanyarwanda walimwaga damu kuipata amani waliyonayoAkubali tu kushindwa for the benefit of his country Kenya.Ila Msando kufa kumesababisha magumashi kwa kweli.
Tapeli mkubwa weweif they have evindence they should reveal it....words is nothing...
Odinga akubali amesha shindwa twajua kuwa kukubali kushindwa kwa mara ya kwanza huwa ni ngumu lakini it will take time and time will heal them.....they should accept.
They had tallying center...but we did not see those results.
Hapo red pasomeke "his"I see no point on their argument....