Msanifu wa jengo ni Mtanzania ila alichofanya bora tungechukua Mwarabu

Msanifu wa jengo ni Mtanzania ila alichofanya bora tungechukua Mwarabu

comte

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2011
Posts
9,019
Reaction score
6,825
Hili jengo ni mradi wa NSSF wa hoteli ya nyota 5 jijini Mwanza. Limesanifiwa na Mtanzania mwezetu ila ukubwa wa vyumba haufikii viwango vinavyotakiwa kwa hoteli ya nyota 5. Mwekezaji aliyekubali kuichukua ili kuiendesha itabidi achukue vyumba vitatu avivunje ili apate vyumba viwili vinavyofikia kiwango cha hoteli ya nyota 5.

1687009576867.png
 
View attachment 2660462
Hili jengo ni mradi wa NSSF wa hoteli ya nyota 5 jijini Mwanza. Limesanifiwa na Mtanzania mwezetu ila ukubwa wa vyumba haufikii viwango vinavyotakiwa kwa hoteli ya nyota 5. Mwekezaje aliyekubali kuichukua ili kuiendesha itabiti achukue vyumba vitatu avivunje ili apate vyumba viwili vinavyofikia kiwango cha hoteli ya nyota 5
Hii ni kati ya miradi ya kifisadi iliyokuwa ilibuniwa na nssf ikishirikiana na CCM kupiga pesa za wafanyakazi. Msonga, Dr Dau....
 
View attachment 2660462
Hili jengo ni mradi wa NSSF wa hoteli ya nyota 5 jijini Mwanza. Limesanifiwa na Mtanzania mwezetu ila ukubwa wa vyumba haufikii viwango vinavyotakiwa kwa hoteli ya nyota 5. Mwekezaje aliyekubali kuichukua ili kuiendesha itabiti achukue vyumba vitatu avivunje ili apate vyumba viwili vinavyofikia kiwango cha hoteli ya nyota 5
Safi sana hii design
Improvization huwa haikosekanigi
 
Nyota za hoteli haziangalii ukubwa wa jengo bali wingi wa facility zinazopatikana na kiwango cha ubora wake, umaliziaji na urahisi wa miundombinu. Kuna hoteli zina vyumba kumi na ni nyota 5
Wewe ndio hujaelewa na labda huna exposure na uzoefu kwenye swala husika, hoteli inapokuwa na nyota tano kuna standard pia lazima uziweke hata kwenye hizo rooms ikiwemo ukubwa, huwezi kumlipisha mtu laki mbili per day halafu umuweke kwenye chumba kidogo kama choo, kwa ufupi hiyo hoteli haitokuwa na ubora na itakosa wateja wa hadhi hiyo ya nyota tano, mleta mada yupo sahihi
 
Wewe ndio hujaelewa ,na labda huna exposure na uzoefu kwenye swala husika, hoteli inapokuwa na nyota tano kuna standard pia lazima uziweke hata kwenye hizo rooms ikiwemo ukubwa ,huwezi kumlipisha mtu laki mbili per day halafu umuwrke kwenye chumba kidogo kama choo ,kwa ufupi hiyo hoteli haitokuwa na ubora na itakosa wateja wa hadhi hiyo ya nyota tano, mleta mada yupo sahihi
Wateja watapatikana ambao wengi ni wa Serikali, watakwenda humo, Serikali italipa ili kuifanya ionekane ina wateja. Kumbuka na mikutano mingi itakuwa inafanyikia humo, Serikali inalipa, yaani utaitumia hiyo hoteli indirectly.
 
Nyota za hoteli haziangalii ukubwa wa jengo bali wingi wa facility zinazopatikana na kiwango cha ubora wake, umaliziaji na urahisi wa miundombinu. Kuna hoteli zina vyumba kumi na ni nyota 5
Rudia kusoma; hatuongelei wingi wa vyumba BALI ukubwa wa chumba
 
Wateja watapatikana ambao wengi ni wa serikali,watakwenda humo,serikali italipa ili kuifanya ionekane ina wareja.Kumbuka na mikutano mingi itakua inafanyikia humo,serikali inalipa,yaani utaitumia hiyo hoteli indirectly.
Na ukifanya biashara kwa approach kama hiyo, ukikutana na uongozi design ya Jiwe unaanza kulia na kusaga meno kwamba vyuma vimekaza. Biashara nyingi za bongo zinakufa kwa sababu ya kutegemea michongo ya gova au connection za wanasiasa. Ni ngumu kutoboa.
ndo maana the so called successful people..wengi walipotea baada ya kukosa connection za kifisadi walizozoea.
 
View attachment 2660462
Hili jengo ni mradi wa NSSF wa hoteli ya nyota 5 jijini Mwanza. Limesanifiwa na Mtanzania mwezetu ila ukubwa wa vyumba haufikii viwango vinavyotakiwa kwa hoteli ya nyota 5. Mwekezaje aliyekubali kuichukua ili kuiendesha itabiti achukue vyumba vitatu avivunje ili apate vyumba viwili vinavyofikia kiwango cha hoteli ya nyota 5
Watu waliotoka kwenye nyumba za nyasi hawapaswi kuongoza nchi hii na kwa bahati mbaya ndio wengi.
 
Back
Top Bottom