Msanifu wa jengo ni Mtanzania ila alichofanya bora tungechukua Mwarabu

Kwahiyo wewe umekubali maneno ya mtoa mada? hana ushahidi na anachoongea na wala hajaingia kwenye hiyo Hotel. Halafu Mwanza kuna Hotel ya zaidi ya laki 2 kwa siku na zinajaza.

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
 
Inamaana hawakuelewa wanachokifanya tangu mwanzo au kwa sababu ni mapesa ya kuchota tu kwa mfuko wa mafao ya watu.
 
Kwahiyo wewe umekubali maneno ya mtoa mada? hana ushahidi na anachoongea na wala hajaingia kwenye hiyo Hotel. Halafu Mwanza kuna Hotel ya zaidi ya laki 2 kwa siku na zinajaza.

Sent from my D6503 using JamiiForums mobile app
Achana na wapumbavu wasio kuwa na punje ya tafakuri kwenye bongo zao, yanakaa kusikiliza umbeya tu usiokuwa na fact wala ukweli wowote na hii ndio.sifa za watanzania wengi yaani yamekaa kama manyumbu.
 

5 Star Hotel Amenities​

  • Elegant rooms with living rooms, kitchens, and patios
  • In-room jacuzzi tub
  • Designer linens and bathrobes
  • Golf courses
  • Spas with nail and hair salons, massage options, and facials
  • Pools, hot tubs, steam rooms, and saunas
  • Top-of-the-line fitness center and coaches
  • Premium staff service (doorman, butler, personal concierge, valet, child care)
  • On-site gourmet restaurants and bars
  • Various entertainment options

5 Star Hotel Benefits​

  • Luxurious and glamorous experience
  • Full-service attention and pampering
  • Desires catered for
  • Highest standard of comfort and relaxation
 
kwenye picha unawezaje kuona size kwa mfano?
Leta picha, mfano nikileta picha mbili za nyumba pamoja za ukubwa tofauti kwani ubongo wako utashindwa kutofautisha ukubwa, ubongo wetu umendwa na nerves na cell nyingi sana zenye uwezo wa kufanya intergration stahiki na lazima kwa kuangalia tu picha me nitajua size ya hizo rooms, sina ubongo wa samaki kama wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…