Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaelekea wasanii wengi wameathirika na haya maunga.Mungu aturehemuinawezekana ikawa mambo ya sembe,kama ndio sembe lenyeve das baba na tid na blue inabidi wakifunze kitu hapo
hi hi hii.Watu mna uchokozi sana..'wee inaonyesha ni mzee flani wa maofisi ya maghorofani kabisa mitaa ya posta aisee hauwajui kabisa hawa jamaa wa kitaa si ndio............la sivyo utakuwa mmaza flani labda ticha hivi au mtu wa dini kabisa type za kilokole hauko na mambo ya kidunia safi sana,ni msanii kafa'
wanadai alilala chumba kimoja na M to the P, huyo mwezake yupo mahututi, r.i.p ngwea
Dogo asije kuwa aliji overdose?
Ngwea alikuwa ni miongoni mwa wasanii wachache wa bongo niliokuwa nawakubali sana. Huyu kijana alikuwa na kipaji kisichokuwa na shaka hata kidogo. Sema baada ya kuanza kutumia ile kitu, matatizo yakawa yameanzia hapo!
Pole sana Paloma kwa msiba.Mungu akupeni nguvu na amani kipindi hiki cha majonzidaaaaah .................siamini!!!!!!!!!!!
yani nimeshtuka balaaaaaaaa...................unanihusu sana huu msiba!!!!! daaah!
Rip Albert!
'wee inaonyesha ni mzee flani wa maofisi ya maghorofani kabisa mitaa ya posta aisee hauwajui kabisa hawa jamaa wa kitaa si ndio............la sivyo utakuwa mmaza flani labda ticha hivi au mtu wa dini kabisa type za kilokole hauko na mambo ya kidunia safi sana,ni msanii kafa'