Msanii Ali Kiba avaa nguo za kike stejini, wanaume wakware wampigia miluzi

Hakuna vazi la kike wala la kiume haya yote ni kuiga uzungu tu, hivi kibwebwe kile cha nyasi kilikuwa kuna cha kike na kiume?! Ndio maana Tz hatuna vazi la taifa maana miluzi mingi hata ma designer hawawezi kuleta vazi likakosa kelele. Kiba anazidi kung'ara watu wasiopenda maendeleo yake wanatoka povu tu.
 
Kwenye mavazi ni kweli kavaa uhusika, ts not a big deal... tatzo lipo kwenye hayo mapozi ya kike ndipo panaponipa wasi wasi, au na yenyewe ni kuvaa uhusika???
Hata wale mchele mchele wa kwenye mitindo huwa wanatembea kiume!!
 

Millioni 15 show ya kiba? wapi na lini? on the otherhand wanawake huwa wanatetea sana watu wenye mienendo kama hii, haya mambo yapingwe vikali ben paul alivaa sketi kama haitoshi akarekodi video anacheza na boxer sasa hivi anaonyesha makalio kesho sijui itakuaje walahi.
 
hawa wanamuziki wetu wakishaanza kwenda ughaibuni tu wasiwasi unaanza kunishika
 
Watanzania wa kawaida...nasikia sana huu msemo Bungeni
 
It is a Lip Sync Battle. . Sio shabiki wa Alikiba ila he nailed it
 
Kwa maelezo yako haya, wakiendelea wengine watakua mataahira
 
Dave Chappelle alisema mwanaume wa kiafrika ukianza kuvalishwa nguo za kike ujue kuna agenda ya kupromote ushoga ambao bado haukubaliki katika jamii zetu.
 
DALILI ZA USHOGA MAMBO MENGINE SIYO YA KUFURAHIA KUBAKI AKIWA NA DADAKE HAELEWEKI WAKIKE YUPI WAKIUME YUPI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…