Msanii Ali Kiba avaa nguo za kike stejini, wanaume wakware wampigia miluzi

Msanii Ali Kiba avaa nguo za kike stejini, wanaume wakware wampigia miluzi

Mbona sijamuona hapo kwenye picha. Weka picha yake kwenye hiyo show. Hapo nimeona ma dancer tu
 
Hii ilikua Lip Sync Battle Mtv Africa kati ya Alli Kiba(Tz) na ndege mnana Simi(Nigeria) simply Alli Kiba akachagua kuimba ngoma ya The late Brenda Fassie(Vulindela kama nimeandika sahihi) ivyo ilabidi avae uhusika kwa kuonekana kama Brenda na mwisho wa battle dogo Alli akaibuka mshindi kama inavyoonekana kwenye picha.
Kama mzee wa wangu marehemu Tx Moshi Williamu alipokua anaimba "Mume wangu kwa nini umeniacha" wakati yeye sio mwanamke ila lengo hadhira imapate ila ladha halisi ya sanaa yake ila kwa kua siku hizi kila kitu kinaangalia kwa kigezo cha timu sishangai watu wakicharurana umu ili kuridhisha nafsi na chuki za upande mmoja nakumbuka hata Joti alishambuliwa kwa kuigiza dada Kiboga ivyo ndivyo tulivyo tabaka la chini tuna furaha kuwananga wenzetu hata kama tunajua Joti sio shoga ila maumivu ya mafanikio yanatulazimisha tumseme tu ili tupate nafuu ya maumivu yetu BTW ni mtazamo wangu tu wa kawaida kwenye hili kama unapenda huu muziki wa sasa jaribu kuangalia behind the scene za video za hawa wasanii kuna vitu vingi utaviona.
Mazingira ya kipindi cha akina TX ni tofauti na sasa, hakukuwa na wanawake wanaojishughulisha na music ..

Kwa sasa niambie msanii yeyote ambaye amevaa uhusika wa mwanamke kwenye nyimbo.
Hata wakiwa na idea wanawauzia wadada
 
tunapoerekea sasa wasanii wetu kimaadiri pabaya mtoto wakiumeni Leo ukavae dera kafanye show Mombasa basi
 
Msanii Ali Kiba alijikuta akivaa nguo za jinsia isiyo yake yaani za kike na kujikuta ametokelezea kama Aunt Asuu, Dan mtoto wa Mama, James Delicious au Bilal Mashauzi.

Ali Kiba kama wengine wanavyomsifia kwa kukata viuno basi alijikuta anazungusha mauno kama Fifi Moto hali iliyopelekea wanaume wakware kupagawa na kujikuta wakimpigia miluzi.

Huyo ndio King Kiba.. Yooooo.... Pop it up

Hahahaaaaa eti Bilali Mashauzi hahahahaaa a.k.a warumi baby mtoto wa watu...
 
Kwa hiyo TX Moshi (RIP) alivaa nguo za kike kuonesha uhalisia wa uanamke?

Njia rahisi kaitafute hiyo show ya Lip sync battle alafu itazame nadhani utapata majibu mengi,nilichogundua hautaki kuelewa na vyuma vilivyokaza muda wa kueleweshana haupo chief.
 
Joti mnamzungumziaje ?? Kweli jamaa kaonesha kipaji na ile ni sanaa tu kuonesha kwamba ana kipaji
 
Msanii Ali Kiba alijikuta akivaa nguo za jinsia isiyo yake yaani za kike na kujikuta ametokelezea kama Aunt Asuu, Dan mtoto wa Mama, James Delicious au Bilal Mashauzi.

Ali Kiba kama wengine wanavyomsifia kwa kukata viuno basi alijikuta anazungusha mauno kama Fifi Moto hali iliyopelekea wanaume wakware kupagawa na kujikuta wakimpigia miluzi.

Huyo ndio King Kiba.. Yooooo.... Pop it up

ACHA KUPOTOSHA MTOA MADA JANA ALI KIBA ALIPERFORM MTV ILA ALICHUKUA WIMBO WA BRENDA FASI WA SOUTH AFRICA SO NOT TO THAT EXTENT UACHE UCHOCHEZ NA UZUSHI HUNA UHURU HUO. KM UNAHIS NI GASHO MPE 0715 AJARIB KUPIGA KM ATAPATA AU ATAKOSA #
 
Hivi si jana tu kuna mtu alikuwa anamsifia Ali Kiba kuwa hajawahi kuvaa au kutokea ki kike?
 
Msanii Ali Kiba alijikuta akivaa nguo za jinsia isiyo yake yaani za kike na kujikuta ametokelezea kama Aunt Asuu, Dan mtoto wa Mama, James Delicious au Bilal Mashauzi.

Ali Kiba kama wengine wanavyomsifia kwa kukata viuno basi alijikuta anazungusha mauno kama Fifi Moto hali iliyopelekea wanaume wakware kupagawa na kujikuta wakimpigia miluzi.

Huyo ndio King Kiba.. Yooooo.... Pop it up

Duh..!
Ina maana naye washaanza kumtafuna.?
 
Nguo ipi ya kike hapo?? Mi naona mmemmiss sana king Kiba sasa mnaanza kutafuta pa kutokea... Mwache kiba afanye yake maana hagomban ila mnataka ugomv nae
 
Ali Kiba ni mwanamuziki,na muziki ni burudani.
Sioni ubaya wowote maana yuko stejini ambako ndiko ofisini kwake.
Binafsi nimeipenda sana,big up Ali Kiba.

Wengine hapa wanatokwa mapovu,wanatoa kejeli kwa Kiba ambaye kwa show moja anaingiza zaidi ya Mil. 15 huku wao walio ofisini (white collar job) wanalipwa laki 3 wanajiona bora!
Huu ni zaidi ya uwendawazimu!
Umemalizaaa mama
 
Msanii Ali Kiba alijikuta akivaa nguo za jinsia isiyo yake yaani za kike na kujikuta ametokelezea kama Aunt Asuu, Dan mtoto wa Mama, James Delicious au Bilal Mashauzi.

Ali Kiba kama wengine wanavyomsifia kwa kukata viuno basi alijikuta anazungusha mauno kama Fifi Moto hali iliyopelekea wanaume wakware kupagawa na kujikuta wakimpigia miluzi.

Huyo ndio King Kiba.. Yooooo.... Pop it up

Hiyo kitu ni kawaida sana,USA kuna kitu kinaitwa "LIP SYNC BATTLE" host ni LL Cool J ni battle inayowakutanisha celeb wawili wapambane kwa ku act wimbo ya msanii fulani na auvae uhalisia wa huyo msanii na wimbo wake but bila kuimba ni vitendo tu.

humo kuwakuta wakina Mike tyson kavaa mavazi kama ya Shakira na mauno kwa kwenda mbele ni kawaida sana...kwa hili la Ali sio jmbo la kushangaza just incase labda km hujui chochote kuhusu Sync battle au ni zile swaga za kuendeleza yale mapambano yetu ya u team.

Otherwise tunaendelea kusherehekea ubingwa wa Yanga huku tukiskilizia Serengeti boys Gaboooon mpk kombe la Duniaaa......
 
Hiyo kitu ni kawaida sana,USA kuna kitu kinaitwa "LIP SYNC BATTLE" host ni LL Cool J ni battle inayowakutanisha celeb wawili wapambane kwa ku act wimbo ya msanii fulani na auvae uhalisia wa huyo msanii na wimbo wake but bila kuimba ni vitendo tu.

humo kuwakuta wakina Mike tyson kavaa mavazi kama ya Shakira na mauno kwa kwenda mbele ni kawaida sana...kwa hili la Ali sio jmbo la kushangaza just incase labda km hujui chochote kuhusu Sync battle au ni zile swaga za kuendeleza yale mapambano yetu ya u team.

Otherwise tunaendelea kusherehekea ubingwa wa Yanga huku tukiskilizia Serengeti boys Gaboooon mpk kombe la Duniaaa......
Umesema USA, umesema na kuchagua wimbo wowote. Sawa, ina maana Ali Kiba kakosa nyimbo zote mpaka akachagua Vulindera?, hiyo haina shida kuchagua.. ndo kabisa akaamua kuvaa ngua za kike?
 
Back
Top Bottom