Msanii Ali Kiba azindua Redio yake, inaitwa Crown FM

Msanii Ali Kiba azindua Redio yake, inaitwa Crown FM

Harmonize ampongeza Ali kiba
FB_IMG_17100910425714945.jpg
 
Bila kuigana biashara haziendi
Umeumia pole, hizi ni akili za kimaskini

Kwamba fulani anafanya biashara fulani na ina soko we usifanye kwakua fulani anafanya, matajili wakubwa wote wanafanya biashara za kunana,
 
Pamoja na yote,Diamond atakumbukwa na anakumbukwa sana.Kaleta mapinduzi makubwa,halafu wengine wanafuata.Diamond kaanzisha Lebo imara Africa,wakafuatia akina Kiba na Konde,mpaka Sasa sijui wamepotelea wapi,akaja akafungua Wasafi media,naona na kaka yake pia kafuata.Namuombea IDUMU isije ikasuasua kama Lebo.
Subili uzi wa mashindano ndo ule hizi ngojera

Vishabiki vya diamond vimejaa chuki na vimisemo vya kukalili, vinalazimisha mada za diamond hata pasipo na uhitaji wa mda hizo, watu wanamjadala mwingine yeye anakuja na habari za diamond
 
Back
Top Bottom