Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Yule wa afu tatu?Huyo ni sura mbaya, 😄, ume msahau ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule wa afu tatu?Huyo ni sura mbaya, 😄, ume msahau ??
Naam🤣Yule wa afu tatu?
Naskia ana matatizo ya kukosa kumbukumbu 😂😁Naam🤣
Nilivyo ona hiyo bye, ndo nika jua😄🤣Naskia ana matatizo ya kukosa kumbukumbu 😂😁
😂🤣😁😁😁Achana nae huyoNilivyo ona hiyo bye, ndo nika jua😄🤣
Namsubiria na sadala nae atoe pongeziHarmonize ampongeza Ali kiba
View attachment 2930586
Kuimba ndiyo nini?Aisee wabongo Akili zetu ni waki Sana, niku ulize aliye MKUTA mwenzie ana imba ni nani??.
Aaah!! Imekua too much mwananguBila kuigana biashara haziendi
la kwangu nilishampa kitambo sanaBado kalio lako
Umeumia pole, hizi ni akili za kimaskiniBila kuigana biashara haziendi
Ukiambiwa uyataje hayo mahitaji hauna hata moja la maana zaidi ya kuja na vimisemo vya kishujaa uchwara, wewe tumia fursa ya hayo mahitaji mengi ya dunia utoboeDuniani mahitaji ni mengi kuliko vitu
Ko ndio nini sasaKo sisi Hutu pendi ehh🤔😃
HahahahahahaKo sisi Hutu pendi ehh🤔😃
Subili uzi wa mashindano ndo ule hizi ngojeraPamoja na yote,Diamond atakumbukwa na anakumbukwa sana.Kaleta mapinduzi makubwa,halafu wengine wanafuata.Diamond kaanzisha Lebo imara Africa,wakafuatia akina Kiba na Konde,mpaka Sasa sijui wamepotelea wapi,akaja akafungua Wasafi media,naona na kaka yake pia kafuata.Namuombea IDUMU isije ikasuasua kama Lebo.
Wabongo kazi sanaUkiambiwa uyataje hayo mahitaji hauna hata moja la maana zaidi ya kuja na vimisemo vya kishujaa uchwara, wewe tumia fursa ya hayo mahitaji mengi ya dunia utoboe
Sio kweli, wewe ni shabiki wa Alikiba.Kaka mi sio shabiki wa mtu, nafurahia muziki pekee.
Aisee bro uko serious kweli na hizi accusations zako??!.Sio kweli, wewe ni shabiki wa Alikiba.
Kwa comments zako hilo halifichiki