Msanii Ali Kiba azindua Redio yake, inaitwa Crown FM

Msanii Ali Kiba azindua Redio yake, inaitwa Crown FM

Aisee bro uko serious kweli na hizi accusations zako??!.
Ume Anza kule kwenye ubahiri, na Huku Ume nifata na Huku!?
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ mimi sijakufata, ila michango yako ndo imenileta.

Mkuu kua shabiki wa fulani sio dhambi, mfano mimi nawakubali WCB ila sibezi wala kudhihaki mafanikio ya wengine.
So ni kawaida
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ mimi sijakufata, ila michango yako ndo imenileta.

Mkuu kua shabiki wa fulani sio dhambi, mfano mimi nawakubali WCB ila sibezi wala kudhihaki mafanikio ya wengine.
So ni kawaida
Sasa mi sinaga ushabiki wa mtu, napenda muziki tu.

Kina konde, kiba, mond, solo thang, afande sele wengi tu
 
Kwangu mimi alikiba ni msanii anayejua kutumia mic,nadhani sasa ntasikiliza nyimbo zake kwa uhuru
Usisahau na za otile brown
 
Back
Top Bottom