Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Yule wa afu tatu?Huyo ni sura mbaya, π, ume msahau ??
Naamπ€£Yule wa afu tatu?
Naskia ana matatizo ya kukosa kumbukumbu ππNaamπ€£
Nilivyo ona hiyo bye, ndo nika juaππ€£Naskia ana matatizo ya kukosa kumbukumbu ππ
ππ€£πππAchana nae huyoNilivyo ona hiyo bye, ndo nika juaππ€£
Namsubiria na sadala nae atoe pongeziHarmonize ampongeza Ali kiba
View attachment 2930586
Kuimba ndiyo nini?Aisee wabongo Akili zetu ni waki Sana, niku ulize aliye MKUTA mwenzie ana imba ni nani??.
Aaah!! Imekua too much mwananguBila kuigana biashara haziendi
la kwangu nilishampa kitambo sanaBado kalio lako
Umeumia pole, hizi ni akili za kimaskiniBila kuigana biashara haziendi
Ukiambiwa uyataje hayo mahitaji hauna hata moja la maana zaidi ya kuja na vimisemo vya kishujaa uchwara, wewe tumia fursa ya hayo mahitaji mengi ya dunia utoboeDuniani mahitaji ni mengi kuliko vitu
Ko ndio nini sasaKo sisi Hutu pendi ehhπ€π
HahahahahahaKo sisi Hutu pendi ehhπ€π
Subili uzi wa mashindano ndo ule hizi ngojeraPamoja na yote,Diamond atakumbukwa na anakumbukwa sana.Kaleta mapinduzi makubwa,halafu wengine wanafuata.Diamond kaanzisha Lebo imara Africa,wakafuatia akina Kiba na Konde,mpaka Sasa sijui wamepotelea wapi,akaja akafungua Wasafi media,naona na kaka yake pia kafuata.Namuombea IDUMU isije ikasuasua kama Lebo.
Wabongo kazi sanaUkiambiwa uyataje hayo mahitaji hauna hata moja la maana zaidi ya kuja na vimisemo vya kishujaa uchwara, wewe tumia fursa ya hayo mahitaji mengi ya dunia utoboe
Sio kweli, wewe ni shabiki wa Alikiba.Kaka mi sio shabiki wa mtu, nafurahia muziki pekee.
Aisee bro uko serious kweli na hizi accusations zako??!.Sio kweli, wewe ni shabiki wa Alikiba.
Kwa comments zako hilo halifichiki