Tetesi: Msanii Alikiba ampa talaka tatu mkewe chanzo kikiwa ni ndugu na kurogana

Tetesi: Msanii Alikiba ampa talaka tatu mkewe chanzo kikiwa ni ndugu na kurogana

Niliikosa hio jmn
Mange alisemaje

Ex yupi?Jojo?.

Bado ipo insta yake fekelo.. bado hajaandika kilichojiri ameonjesha tu kuhusika kwa kuleta tatizo hajasema nini. ila watu ndio wamekomenti yao.
 
Ndio tatizo la ndoa za kishwahili mnapishana na ndugu kwenye korido Kama nzi. Afrika kuchomoka bado Sana unaweza kuishi na ndugu zaidi ya watano nyumba moja,Dada wa kazi anafanya kazi ya kupika kuanzia asubuhi Hadi usiku utadhan ni mpisha wa hotel.mnapika chakula kingi Hadi kinakosa ladha .

Speaking from experience, lol
 
harusi zenye mbwembwe zikifanywa na maskini hazifikagi mbali..

alikiba anatoka ukoo maskini kitendo cha kufanya harusi ya mbwembwe tu ilikuwa kama analeta mkosi..

hela za harusi ya ali kiba zingewapa ndugu zake ali kiba mtaji.. wasingekomaa kuishi kwa alikiba..


ila harusi mnatumia hela nyingi huku ukooo wenu ni maskini.. mtagombana tu

Harusi ya kiba ilifanywa na joho, asilimia kubwa alichangia yeye mheshimiwa
 
Kweli malipo ni hapa hapa duniani

Kazalisha wanawake watatu sijui na asioe
Sasa Amina wanne

Na kumuacha Mkuu wa Wilaya na kukimbilia Kenya...sasa kiko wapi?.kweli kutesa kwa zamu.,ss zamu yake kula tabu.

Vijana tujifunze

Ndoa gani mnaishi watu maelfu ndani😅
 
Kweli malipo ni hapa hapa duniani

Kazalisha wanawake watatu sijui na asioe
Sasa Amina wanne

Na kumuacha Mkuu wa Wilaya na kukimbilia Kenya...sasa kiko wapi?.kweli kutesa kwa zamu.,ss zamu yake kula tabu.

Vijana tujifunze

Ndoa gani mnaishi watu maelfu ndani😅
Siku aliyooa kiba wanawake wa kibongo tulitukanwa sana mpaka JoJo alikimbia ig,Mungu alivyomkubwa ndoa hata mwaka aijafikisha.
 
Wasalaam wajamvi!

Msanii Alikiba a.k.a King Kiba amempa talaka tatu mkewe Amina raia wa kenya baada ya kushindwa kupata muafaka juu ya ugomvi wao na ndugu wa Alikiba na Mama wa Alikiba.

Ndoa ya King Kiba ilianza kuingia dosari baada ya Amina kutaka ndugu wa Alikiba wakajitafutie maisha yao na wajitegemee jambo ambalo lilizua taharuki na ugomvi mkubwa baini ya ndugu wa Alikiba na Amina..

Amina alidai ni vigumu kuishi na watu wengi vile ndani ya nyumba moja hata kama ni ghorofa na bado kuwe na amani...hivyo alimshauri alikiba awape mitaji wakajitegemee au awapangie nyumba nyingine.....

Hili jambo liliendeleza mgogoro mkubwa hadi Mama Alikiba kiingilia kati na kutaka Alikiba amuache Amina na akadai apendi hata watoto wa Alikiba kuwa pale....


Wakati hayo yakiendelea kutafutiwa uvumbuzi mtoto wa Alikiba aliugua na kupatwa ugonjwa ulio sababisha awe ana anguka kila muda.....hili lilichochea moto kwani ndugu na Mama Alikiba waliamua kufunga safari hadi kwa fundi ndipo alipotoa tv [emoji342] na kuwaonesha chanzo cha ugonjwa wa mtoto ikidawa amelogwa na Amina mke wa King [emoji146] kiba.


Hivyo basi Mama na ndugu baada ya kutoka kwa fundi walirudi na kumchana live Amina kuwa anataka kumuua mtoto wa King Kiba hivyo lazima aondoke jambo ambalo lilizua ugomvi mkubwa huku Amina akilia kama mtoto na kuwambie hawezi na hana tabia hizo labda kama wanataka aachane na ndugu yao lakini wasimsingizie....

Ugomvi ulikuwa mkubwa sana kupelekea Amina kubeba mwanae na kurudi kwao mombasa huku akitaka kupewa talaka maana ndoa imemshinda!


Mnamo mwezi wa nane mwisho King Kiba alimpa talaka Amina ili aendelee na maisha yaante

Ahsanteeeeee kwa USENGE murua MSENGE WW
 
This is sad,pole Amina..uwe haupendani na ndugu za mumeo na mumeo anawa support ndugu zake..hio atmosphere ni ngumu...bora ukapumue mwaya!!
Haya mambo mnasababishaga nyie wakina Mama, watoto wenu wa kiume mnapendaga kuwafanya kama mitaji,Akishakuwa na uwezo baasi unataka ukae hapohapo na wewe kama mke mkubwa, kazi kuwafuatiliafuatilia wakwe zenu kwa kivuli cha Mama, Huku mnataka kukontrol nyumba ya mtoto kama ya kwako kisa ulimlea kwa taabu tu.
 
Hilo kweli ndugu nao wanazidi mtu hawezi hata vaa pens akazunguka ndani kwake nyie mmetoa mimacho tu kwa wifi yenu [emoji846][emoji846][emoji846]
Ndoa nzuri ni zile unakaa na mke wako, siku unaamua utembee uchi ndani ya nyumba luksa, siku unaamua mlale kwenye sebure, , jikoni, korridor, luksa, siyo nyumba mnakaa na ndugu 20, kochi zinabalika rangi,
 
Kama kambi ya umitashumta [emoji23][emoji23]
Kweli malipo ni hapa hapa duniani

Kazalisha wanawake watatu sijui na asioe
Sasa Amina wanne

Na kumuacha Mkuu wa Wilaya na kukimbilia Kenya...sasa kiko wapi?.kweli kutesa kwa zamu.,ss zamu yake kula tabu.

Vijana tujifunze

Ndoa gani mnaishi watu maelfu ndani[emoji28]
 
Haya mambo mnasababishaga nyie wakina Mama, watoto wenu wa kiume mnapendaga kuwafanya kama mitaji,Akishakuwa na uwezo baasi unataka ukae hapohapo na wewe kama mke mkubwa, kazi kuwafuatiliafuatilia wakwe zenu kwa kivuli cha Mama, Huku mnataka kukontrol nyumba ya mtoto kama ya kwako kisa ulimlea kwa taabu tu.
Halafu wanashindwa kulea watoto wao wa kike, kazi yao kupiga ukahaba na kudanga
 
Eti jamani kutwa mnashinda sebuleni huyu katoka kule mwingine kule kama mashimo ya panya, hata kujibebisha hakuna, hata ningekuwa mimi kwanza ana moyo sizani kama walisha wahi hata lishana huku wamepakatana [emoji23][emoji23][emoji23] ngoja nipite mie
Ndoa nzuri ni zile unakaa na mke wako, siku unaamua utembee uchi ndani ya nyumba luksa, siku unaamua mlale kwenye sebure, , jikoni, korridor, luksa, siyo nyumba mnakaa na ndugu 20, kochi zinabalika rangi,
 
Back
Top Bottom