Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukisoma humu comments za wanawake/wasichana utagundua kuwa hawapendi kabisa ndugu wa wame zao
Yani wengi wanatamani sana kuolewa na mtu aliyefiwa na ndugu wote kitu ambacho hakiwezekani kabisa!
Sorry kwa kukuingilia
Naomba urudishe kale ka picha
Kwahiyo hawa wote ndo wanakaa hapo ghorofani kwa Kiba?View attachment 1210256
kazi hipo hapo
Na kweli..huwezi kumpenda mama yako halafu eti umpende na mkeo hilo halipo!
ni mara chache sana ndoa ambazo wanaume wanawapenda mama zao huwa zinadumu na ukiona hivyo ujue mke kaamua kujitoa ufahamu tu.
Nilishtuka...nikajua nimeona vibaya[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] sijui hata kamepotelea wapi
Haha ulishtuka nini? Ukajua nimeweka picha yangu? [emoji3][emoji3]Nilishtuka...nikajua nimeona vibaya
Hamna...huwezi kuwa mdogo hivyo...Haha ulishtuka nini? Ukajua nimeweka picha yangu? [emoji3][emoji3]
Hivi kumbe huyo ni mdogo[emoji3][emoji3][emoji3] mbona nimeona kama mhengaHamna...huwezi kuwa mdogo hivyo...
Ila niliona tu imebadilika[emoji3]
Kwa picha niliyokujengea akilini...naona Kama huyo Ni mdogoHivi kumbe huyo ni mdogo[emoji3][emoji3][emoji3] mbona nimeona kama mhenga
Inawezekana picha uliyonayo ni sahihi[emoji3]Kwa picha niliyokujengea akilini...naona Kama huyo Ni mdogo
Baada ya ndugu wa kiba kujua chumba cha shemeji kipo vacantKingmusic band wakiwa wamelala hapo ni nusu tu bado hesabu haijatimiaView attachment 1210436
Mkuu kwani mandela ni nani mbele ya Mungu?Hata Mandela hakuwa na akili?
kwa hiyo wanamuziki wengine waliopitwa na Mond, wameachana na wake zao?
hapa ni wewe
Mkuu kwani mandela ni nani mbele ya Mungu?
Kumbuka hayo maneno si yangu.
Ina maana japo King Kiba ni mega super star hakufanya background check na Vetting ya kutosha hadi anakuja kuachana na aliyekuwa mkewe Amina mapema namna hii??!! Yaani hata miaka miwili hawajafikisha!! Habari hizi sio tetesi tena zimethibitishwa kuwa ni ukweli. Brand inashake mazeeMzee mwenzangu umezungumza kweli ,nimesoma coment za wengi humu hawajui hawa wanawake wakimombasa huwa ni washenzi sana ,kwanza wanataka kuwa juu ya mume ,yaan mke awe na sauti ,pia ni watu wa anasa na wabinafsi sana hawana adabu
Hakuna kitu kinaitwa "talaka tatu" katika utaratibu wa dini.Sheria ya talaka tatu siku kiba akitaka kumrudia amina lazima kwanza mimi nimuoe amina then nimuache kwa talaka ndio naye achukue mzigo.
Vyote vyote...yoooooohKwenye mziki au lifestyle