happyxxx
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 604
- 1,970
Msanii Anjela ni mgonjwa wa miguu na wakati anasainiwa tuliona akipewa ahadi atapelekwa India kwa ajili ya matibabu.
Sina hakika hii ahadi ipo kwenye contract au la!
Ambacho nasikitika ni kwa nini mpaka leo hajatimiziwa hii ahadi ya matibabu na Konde Gang.
Sina hakika hii ahadi ipo kwenye contract au la!
Ambacho nasikitika ni kwa nini mpaka leo hajatimiziwa hii ahadi ya matibabu na Konde Gang.