Msanii Anjela wa Konde Gang ni lini ataenda kupatiwa matibabu?

Msanii Anjela wa Konde Gang ni lini ataenda kupatiwa matibabu?

Msanii Anjela ni mgonjwa wa miguu na wakati anasainiwa tuliona akipewa ahadi atapelekwa India kwa ajili ya matibabu.

Sina hakika hii ahadi ipo kwenye contract au la!

Ambacho nasikitika ni kwa nini mpaka leo hajatimiziwa hii ahadi ya matibabu na Konde Gang.

View attachment 2154748
Daa aiseee kumbe miguu yake ipo hivyo.
 
Alizaliwa nayo hvyo hvyo au aliupta ugonjwa baada tu ya kuanza kuimba
 
Kama mkinunua nyimbo zake na kuhudhuria shows zake kwa wingi haitakua na haja ya kupelekwa.

Atajipeleka mwenyewe.
Kweli kbsa mkuu,tukimpa support nzuri bila Shaka mwenyewe ataweza kusimamia bills za matibabu yake
 
Back
Top Bottom