magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Thread closed.Kama mkinunua nyimbo zake na kuhudhuria shows zake kwa wingi haitakua na haja ya kupelekwa.
Atajipeleka mwenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thread closed.Kama mkinunua nyimbo zake na kuhudhuria shows zake kwa wingi haitakua na haja ya kupelekwa.
Atajipeleka mwenyewe.
Alimuahidi kumtibia India sio kumpa platform akajitibieVitu vingne n kujiongeza TU
Harmonize amempa platform ya kuonyesha kipaj chake Sasa n wakat wa yeye kuonesha kwel nakuitumia fursa atapata hela ya kwenda india au America
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ubarikiwe mkuuKama mkinunua nyimbo zake na kuhudhuria shows zake kwa wingi haitakua na haja ya kupelekwa.
Atajipeleka mwenyewe.
Umewahi kusikia kafanya show wapi au hizi za kudandia za harmo?? Harmo kashindwa kumbrand huyu binti hana shows nyimbo chache sana alizonazo ukweli usemwe Harmo alitafuta kiki tu lakini ni kama kamtupa maendeleo yake madogo sana kwenye mziki anaimba vizuri ila ngoma chache sana.Kama mkinunua nyimbo zake na kuhudhuria shows zake kwa wingi haitakua na haja ya kupelekwa.
Atajipeleka mwenyewe.
kamtelekeza kivipi.....kamtoa from zero to the point ambayo anjela sa hv anasaidia wazazi wake, anaishi kwake ana usafiri wake ana fanbase yake kubwa tu, ana shughuli zake za muziki zinazomuingizia kipato cha kumtosha kuendesha maisha yake,,,Unamaanisha hamoñaize kamtelekeza na ugonjwa wake huyu binti?
Yaoooo yoooKondeboy call me number one..so much money in a bank man.
Alimuahidi kumtibia miguu India, je ametekeleza au hajatekeleza?kamtelekeza kivipi.....kamtoa from zero to the point ambayo anjela sa hv anasaidia wazazi wake, anaishi kwake ana usafiri wake ana fanbase yake kubwa tu, ana shughuli zake za muziki zinazomuingizia kipato cha kumtosha kuendesha maisha yake,,,
Mazuri yote alioyafanya Harmo kwa huyu dada mnayafuta sababu ya tiba ya miguu?
Wasanii wa bongo michosho tu, kuna kale kengine kaliimba wapinzani watetereke halafu baadae akawafata kuwaomba wampigie kura, sasa watu washatetereka watakuwa na uwezo wa kupiga kura kweliUnamaanisha hamoñaize kamtelekeza na ugonjwa wake huyu binti?
Juma lokole banambona sadala anakula ngada na ahadi anakumbukaKwa hizo bangi Harmonize anazovuta, sidhani kama hata anakumbuka kuwa alitoa ahadi ya matibabu kwa Anjela.