Msanii Anjela wa Konde Gang ni lini ataenda kupatiwa matibabu?

Daa aiseee kumbe miguu yake ipo hivyo.
 
Alizaliwa nayo hvyo hvyo au aliupta ugonjwa baada tu ya kuanza kuimba
 
Kama mkinunua nyimbo zake na kuhudhuria shows zake kwa wingi haitakua na haja ya kupelekwa.

Atajipeleka mwenyewe.
Kweli kbsa mkuu,tukimpa support nzuri bila Shaka mwenyewe ataweza kusimamia bills za matibabu yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…