sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Mtu anapata shida na ugonjwa wa miguu wewe unasema uteam...alosema atampeleka India atimize ahadi yakeVtu vingne ni private tujifunze kuto kuhoji kla ktu vingne vyakuangalia tu unaacha na tuache u team wa kishamba
Acheni attitude mbovu.. mbona hata hapa amemsaidia sana tu..Kwa hizo bangi Harmonize anazovuta, sidhani kama hata anakumbuka kuwa alitoa ahadi ya matibabu kwa Anjela.
Nyimbo hununuliwa kutokana na ubora wake na marketing strategies, hazinunuliwi kwa sababu watu wanamuonea huruma mtoa nyimbo.Kama mkinunua nyimbo zake na kuhudhuria shows zake kwa wingi haitakua na haja ya kupelekwa.
Atajipeleka mwenyewe.
Sawa yakobo mtoa laana š
Macho yako..Alitaka kufanana na Zuchu au ni macho yangu...
Macho yangu unayajua...Macho yako..
Hata siyajui eti..šMacho yangu unayajua...
Mpaka mboni zako nazijua...Hata siyajui eti..š
Kwani wewe yangu unayajua
HahahahaMpaka mboni zako nazijua...
Kama ni private basi na hii ahadi ingetolewa huko huko privatešVtu vingne ni private tujifunze kuto kuhoji kla ktu vingne vyakuangalia tu unaacha na tuache u team wa kishamba
Hard fact.
Kabisa, kwanza kutoka kuwa star ni kumshukuru mungu, wangapi underground na hawana ndoto za kutoka Kama yeye.Kama mkinunua nyimbo zake na kuhudhuria shows zake kwa wingi haitakua na haja ya kupelekwa.
Atajipeleka mwenyewe.
We si ndo umesema macho Yako, kipi tena kinakufanya uhoji, yule ni Angella na mwingine ni Zuchu mpaka hapo kuna mfanano gani uliouona au macho yako yana matege?Macho yangu unayajua...
Macho yako makubwa sana...We si ndo umesema macho Yako, kipi tena kinakufanya uhoji, yule ni Angella na mwingine ni Zuchu mpaka hapo kuna mfanano gani uliouona au macho yako yana matege?
Azima yangu hapo kwenye avatar utumie kuwaangali vizuri kisha urudishe macho yangu (joking)[emoji2][emoji2][emoji2]
Kondeboy call me number one..so much money in a bank man.