Msanii Anjela wa Konde Gang ni lini ataenda kupatiwa matibabu?

Kama mkinunua nyimbo zake na kuhudhuria shows zake kwa wingi haitakua na haja ya kupelekwa.

Atajipeleka mwenyewe.
Nyimbo hununuliwa kutokana na ubora wake na marketing strategies, hazinunuliwi kwa sababu watu wanamuonea huruma mtoa nyimbo.
Point hapa ni kuwa ilishatolewa ahadi na wahenga walinena 'ahadi ni deni'.
 
Alitaka kufanana na Zuchu au ni macho yangu...
 
Vitu vingne n kujiongeza TU

Harmonize amempa platform ya kuonyesha kipaj chake Sasa n wakat wa yeye kuonesha kwel nakuitumia fursa atapata hela ya kwenda india au America

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kama mkinunua nyimbo zake na kuhudhuria shows zake kwa wingi haitakua na haja ya kupelekwa.

Atajipeleka mwenyewe.
Kabisa, kwanza kutoka kuwa star ni kumshukuru mungu, wangapi underground na hawana ndoto za kutoka Kama yeye.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Macho yangu unayajua...
We si ndo umesema macho Yako, kipi tena kinakufanya uhoji, yule ni Angella na mwingine ni Zuchu mpaka hapo kuna mfanano gani uliouona au macho yako yana matege?

Azima yangu hapo kwenye avatar utumie kuwaangali vizuri kisha urudishe macho yangu (joking)[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Macho yako makubwa sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…