Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua, serikali ikitangaza kufungia wimbo huwa ndo inaupa promo? Yaani watu wata download sana na kuusikiliza content, ni bora wapige kimya tu, utachuja wenyeweUtafungiwa subiri Maviongozi ya ccm au hutaona unapigwa sehemu yoyote
Haya nenda kachukue buku zako 7 lumumba namba 4Terrorist ni gaidi yaani mtu anayetishia au kuogofya watu kwa matendo yake yawe ya kusema, ama kufanya.
Mtu anayesema, damu itamwagika ( Mbowe, akiwa Kinondoni) ni nani?
Mheshimiwa F. T. Sumaye alitaka kugombea uongozi Chadema, ikasemwa aliambiwa na Mtu ,nadhani Free, kuwa sumu haionjwi kwa ulimi. Je ni nani?
Majibu ya maswali haya yatapatikana mahakamani. Tuiache mahakama ifanye kazi yake.
Very true.Mbona watakimbizana?
Huu ndio muda wa zile nyimbo za ukombozi kama za kina SARAFINA
Ha ha a haaa! Kweli wewe mzoefu hadi namba ya chumba. Inatakiwa Chadema wakague tena credentials zako kwani unaweza kuwa triple agent.Haya nenda kachukue buku zako 7 lumumba namba 4
Mkata umeme ndiyo kitu ganiAliyo kataa mkata umeme wako nawe ukafurahia tu kama zuzu
Ok. Utatuzi wake ukoje hili.Basi tatizo ndiyo hilo labda uanzie hapo kutatua hilo kwanza.
ShukranYaani hapo kana network yako ipo vema una klick tu hapo kwenye picha au video itafungua
Bado mtandao hauko stable. Unaweza kutoka say 270 uka jump mpaka 0. Within second unabadilika badilika tu kwenye range ya 100 mpaka 0. Occasionally ndio unaweza pata namba za mamia.Vipi kiongozi imekubali?