Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Msanii wa kizazi kipya Ambwene Yesaya siku ya leo amafunga ndo na mpenzi wake mnyarwanda na ndio hiyo imefungwa kimila huko nchin Rwanda
Mke wa msanii huyo ana shahada ya uzamili ya uhandisi.
Watu hao wamedumu kwenye uchumba kwa muda wa miaka kumi sasa.
VIDEO