Msanii AY afunga ndoa na mpenzi wake huko Rwanda

Msanii AY afunga ndoa na mpenzi wake huko Rwanda

Mke ambaye si halali kwako huna hata haki ya kumzika, msiba unakuwa kwao na wanazika kwao wewe unakwenda kama muombolezaji tu

Hiki ni kipindi cha aibu sana humkuta mwanaume mbele ya rafiki zake ambao mwanzoni walijuwa hawa ni mke na mume halali.

Huo ni mfano mmoja tu kati ya mingi ya kuhalalisha ndoa, mambo mengine ni kama beneficiary wanandoa upande wa makazini na kwenye bima za afya.

Mfano hai mimi natumia zaidi bima ya afya ya kutoka ofisi ya wife kuliko ya kutoka ofisini kwangu, wao ya kwao mpaka Agha khan is accepted.

Kwa uchache hayo ni baadhi ya mambo yanayosababisha watu kuoa wake zao.

Wewe ni miongoni mwa watu wachache wenye maarifa na ufahamu mkubwa humu JF

I APPRECIATE
 
Roooooooho yaaumiiiia iam missing my baby iiiiiih[emoji445] [emoji344] imakuwa VP tena[emoji144]
 
Roooooooho yaaumiiiia iam missing my baby iiiiiih[emoji445] [emoji344] imakuwa VP tena[emoji144] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Mnyambala ameniabisha,kwanini asingempeleka mtoto Tukuyu/Kyela kufunga nae ndoa ya kimila?yaani kaenda kufanyia sherehe ukweni..aahaa malafyale
Mkuu ulitaka aifungie kiwira???? Popote shughuli hufanyika ili mradi mazingira yanaruhusu
 
Wanawake wa bongo endeleen kufuga makucha kama jini, endelea kukuza makalio na kusuka mawigi waume zenu bado hawajazaliwa na mtakuja kuolewa na wajukuu zenu

Nywanoko benywe

LONDON BOY
sasa mbn mkuu unatukana tena?!!
 
Back
Top Bottom