Msanii AY afunga ndoa na mpenzi wake huko Rwanda


Wewe ni miongoni mwa watu wachache wenye maarifa na ufahamu mkubwa humu JF

I APPRECIATE
 
Roooooooho yaaumiiiia iam missing my baby iiiiiih[emoji445] [emoji344] imakuwa VP tena[emoji144]
 
Roooooooho yaaumiiiia iam missing my baby iiiiiih[emoji445] [emoji344] imakuwa VP tena[emoji144] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Mnyambala ameniabisha,kwanini asingempeleka mtoto Tukuyu/Kyela kufunga nae ndoa ya kimila?yaani kaenda kufanyia sherehe ukweni..aahaa malafyale
Mkuu ulitaka aifungie kiwira???? Popote shughuli hufanyika ili mradi mazingira yanaruhusu
 
Wanawake wa bongo endeleen kufuga makucha kama jini, endelea kukuza makalio na kusuka mawigi waume zenu bado hawajazaliwa na mtakuja kuolewa na wajukuu zenu

Nywanoko benywe

LONDON BOY
sasa mbn mkuu unatukana tena?!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…