Nukta5
JF-Expert Member
- Jun 7, 2014
- 1,182
- 1,288
Msanii wa Kimataifa Ambwene Yesaya (AY) anayefanya kazi zake za kisanii nchini Tanzania na pia anatamba na wimbo wake mpya unaoitwa ZIGO amezidi kuonyesha mafanikio yake ya kimuziki na kibiashara yanavyomlipa baada ya kutinga na Range Rover yake kwenye msiba wa baba yake Dully Sykes mzee Ebby Sykes. Licha ya kumiliki Range Rover pia AY anamiliki kipindi cha mikasi na duka la nguo lililopo sinza madukani na pia AY mwaka juzi alisema anataka kufungua biashara jijjini Nairobi nchini Kenya.