Msanii Bando MC hajui 'Ku-Rap'

Msanii Bando MC hajui 'Ku-Rap'

Mleta mada naomba unitajie Rapper wako bora.
Na vigezo unavyotumia ku Rate rap game?
Katika wimbo wa bando karibia Kila neno kwenye mstari Lina topic yake so kama Ngoma ina maneno 200 basi ni wazi kuwa topics alilizozunguzi si chini ya 90.
Rapa unatikiwa kuflow kwenye biti, upangilie vina, mizani yenye kuleta mantiki, kuwa na ujumbe kwenye kurap ninw muhumu mno.
 
Huyo msanii hamna kitu.
Watu wanasikiliza ujumbe wa nyimbo zake, way anayo deliver message na hizo nyimbo zake za kuwa inspire watu

Tangu atoke style ni hiohio, Flow ni hzohzo sio tu ishu za kuendana na beat abafili mifumo.
Na amini kupitia huu uzi atabadirika.

Out of 10 mi nampa Rating 4
 
Kwenye ku copy idea.

Guru wa Gangstarr katika "Take It Personal" ali rap hivi.

"Rap is an art, you can't own no loops
It's how you hook 'em up and the rhyme style, troop
So don't even think you could say someone bit
Off your weak beat, come on, you need to quit"
Kiranga kwa upande wa Muziki naweza nikakueleza kwa kila Lyrics alichomaanisha

alichomaanisha ni ku express a perspective on rap as an art form ambayo unaweza kwenda beyond na Kutumia specific sounds or loops au Melod Ila Kuina Rhymes Na Maneno yaani Ideas Huwa hairuhusiwi na ndo maana Maneno ya Rap huwa Ni Copywriting..

lets me breakdown the lyrics according to Gangstar mwenyewe

"Rap is an art, you can't own no loops" suggests that no one can claim exclusive ownership over musical loops or beats, as rap is about creativity and how you use those elements Buh it doesnt talk about art of Coppying Lyrics or Ideas..

"It's how you hook 'em up and the rhyme style, troop": The real skill lies in how you arrange the beats and deliver yo rhymes...
focus hapo ni the technique and originality of the rapper, rather than the beats themselves...Kwahyo yo can Copy How I rhyme on the beat and how i Play with words cuz its Art but rather than Copy my ideas..

"So don't even think you could say someone bit": This challenges the idea that someone "stole" or copied a beat In rap, accusations of "biting" (stealing another artist's style) are common, but the lyrics here downplay that notion regarding beats and Not according to Ideas Once the Ideas of The song is Stolen that Aint arts Meehn its called Steal..

So tukubaliane according kwa utetezi ulioleta Kuwa Coppying Style and how People rhyme its Ok but coppying ideas its not OK
 
Huyo msanii hamna kitu.
Watu wanasikiliza ujumbe wa nyimbo zake, way anayo deliver message na hizo nyimbo zake za kuwa inspire watu

Tangu atoke style ni hiohio, Flow ni hzohzo sio tu ishu za kuendana na beat abafili mifumo.
Na amini kupitia huu uzi atabadirika.

Out of 10 mi nampa Rating 4
Umemaliza.
 
Kiranga kwa upande wa Muziki naweza nikakueleza kwa kila Lyrics alichomaanisha

alichomaanisha ni ku express a perspective on rap as an art form ambayo unaweza kwenda beyond na Kutumia specific sounds or loops au Melod Ila Kuina Rhymes Na Maneno yaani Ideas Huwa hairuhusiwi na ndo maana Maneno ya Rap huwa Ni Copywriting..

lets me breakdown the lyrics according to Gangstar mwenyewe

"Rap is an art, you can't own no loops" suggests that no one can claim exclusive ownership over musical loops or beats, as rap is about creativity and how you use those elements Buh it doesnt talk about art of Coppying Lyrics or Ideas..

"It's how you hook 'em up and the rhyme style, troop": The real skill lies in how you arrange the beats and deliver yo rhymes...
focus hapo ni the technique and originality of the rapper, rather than the beats themselves...Kwahyo yo can Copy How I rhyme on the beat and how i Play with words cuz its Art but rather than Copy my ideas..

"So don't even think you could say someone bit": This challenges the idea that someone "stole" or copied a beat In rap, accusations of "biting" (stealing another artist's style) are common, but the lyrics here downplay that notion regarding beats and Not according to Ideas Once the Ideas of The song is Stolen that Aint arts Meehn its called Steal..

So tukubaliane according kwa utetezi ulioleta Kuwa Coppying Style and how People rhyme its Ok but coppying ideas its not OK
Kwa hiyo 2Pac akiimba Dear Mama rapper mwingine haruhusiwi kuimba wimbo wa kumuenzi mama kwa sababu hiyo ni idea ya 2Pac?
 
Kitu uzima, Noa kichwa hiyo Kiranga
jamaa anajua ni Real MC ana deliver message vizuri nampa maua yake.

Ina kuchaga ishu ya watu kusikiliza ngoma zako kwa vile wanapenda message unazotoa zina wa inspire. Ila kwa upande wa flow ns style ya uimbaji ndo ileile enzi na enzi
Ndo tujaribu kui criticize. Ndo maana wasanii wanasema Rap game hailipi kama uimbaji mwingine sababu hua ni hizo.
Ila wakiweza kubadili beat, flow na style ya uimbaji Rap itawalipa
 
Kwa hiyo 2Pac akiimba Dear Mama rapper mwingine haruhusiwi kuimba wimbo wa kumuenzi mama kwa sababu hiyo ni idea ya 2Pac?
Moja ya sifa muhim za msanii ni kuja na idea mpya, hii inathibitisha ubunifu wake.
Simply unapocopy idea ni unambless tu maua mwanzilishi.
Mfano Young Killer alipoandika Dear Gambe tangu hapo nikithibitisha dogo ana kichwa makini.
 
Back
Top Bottom