Ninaowatetea ni kina nani na ni vichwa vibovu kwa nini?Uko sahih, lakini inawezekana kabisa Rapper kuja na hoja mpya japo si mara zote ila hata zile zinazoexist basi inakua si copy ya moja kwa moja. Mbona Fid Q na Dizasta wanafanya hivyo na Ngoma zote ni Content tupu.
Hao unaowatetea wewe ni vicha vibovu tu.
Exactly.Safi sasa Hapa Ndo umeonyesha Your OG..
Kwamba Unakuja na style ile ile ila kwa ideas ambayo haikufanyi mtu akisikiliza moja kwa moja aseme Mbona kama Ideas ya 2 PAC hii..
Thats Cool..
Mfano: Nipo Bize ya Jafarai sio sawa na Nyimbo ya Nipo Bize ya Xouz japo zote ni idea moja na sio sawa na Ile nyimbo ya Mr Blue Tabasamu
Nambie wewe Dear Gambe uliisikia wapi?Ninaowatetea ni kina nani na ni vichwa vibovu kwa nini?
Mimi naongelea abstract idea, sijatetea mtu.
Hakuna original idea katika rap, labda kuna original expression of an idea.
Leo 2024 uta rap kipi kiwe an original idea?
Exactly.Anachosema Kiranga ni kuwa idea inaweza kuwa moja na ikaimbwa hata mara 500 lakini ukali wa msanii utatokana na namna alivyoiwasilisha idea hiyo.
Tupac ameimba Dear Mama imekua kubwa na huenda mpaka sasa hakuna nyimbo ya mama iliyofikia ukubwa wa hiyo ya Pac, ila wasanii hawaachi kuimba. Ndio kama kina Ommy Dimpoz na Christian Bella na wengine
Hit em Up inatajwa kama best diss song of all time, haimaanishi kuwa wasanii wameacha kuimba nyimbo za dissing, sio kuwa wanamuiga Pac bali wanaelezea mambo yao ila ndio hivyo sasa hazifiki ukubwa wa hiyo Hit em Up. Idea karibu zote zimeshaimbwa, hakuna kitu kipya
Ukishaanza ku rap hiyo idea ya ku rap tu usha copy.Nimemuelewa sana tu, ninachopinga mimi ni ile kwamba Msanii bila Copy basi hana kitu kipya cha kubuni na kikahit. Hii me naikataa ni lazima msanii awe na fikra mpya japo si mara zote.
Sasa Isikilize Sir God ya Bando MC halafu chukua Muda nenda kaisikilize Dear God ya Dax..Exactly.
Haupo serious leo🤣Ukishaanza ku rap hiyo idea ya ku rap tu usha copy.
Hamna idea mpya duniani watu kilichopo ni ubunifu tuNimemuelewa sana tu, ninachopinga mimi ni ile kwamba Msanii bila Copy basi hana kitu kipya cha kubuni na kikahit. Hii me naikataa ni lazima msanii awe na fikra mpya japo si mara zote.
Itaje basi twende kwa ushahid maana mmekomalia sana hakuna jambo jipya.Hamna idea mpya duniani watu kilichopo ni ubunifu tu
Hiyo dear Mama ya 2PAC hayo mashahiri kuna nyimbo inafanana na hiyo na imetoka kabla ya dear mama ya Pac
Usimsahau mtaalamu ConBoi pianamsikiliza dizasta tu labda na unju
na wana wengine wa tamaduni music
Sometime inakuwa sample sio coppyItaje basi twende kwa ushahid maana mmekomalia sana hakuna jambo jipya.
Afu nikupebna idea zingine mpya unambie wasanii hao wamezicopy wapi
Wivu utakusaidia nini kwa jamaa?Kuna rafiki yangu kwenye simu yake kajaza nyimbo zake, ili urafiki wetu usivunjike nikawa natembea na pamba za masikioni na Kila aliipopiga ngoma yoyote ya Bando basi mi niliweka pamba masikioni kwa kisingizio cha kusumbuliwa na masikio.
Mbona kama Sir God ya Bando ni ya a hopeful believer na Dear God ni ya skeptic mwenye hasira na Mungu?Sasa Isikilize Sir God ya Bando MC halafu chukua Muda nenda kaisikilize Dear God ya Dax..
Its Like Sir God ni "Dear God 2.0"..
Kuanzia Outro,Intro mpaka Maneno
Freestyle wangapi wanafanya? Niambie usa wakali wa freestyle ambao ni ma mc wakubwa, u can have mad freestyle skills na watu wasikitambue na ukawa flat rapping skills na watu wakaenda nawe, kina 50 cent wameenda mjini na wala sio ma freestylist wa kutishaVigezo vimewekwa na Hiphop/Rap industry sio lazima mtu awe navyo vyote angalau vi 3 kati ya hivyo.
utajiitaje rapper na huwezi ku freestyle mpka ukae chini uansike. Na una flow tu kwenye beat zako ukiwekwa kwenye beat nyngne mpka producer a edit ma file. Flow unayo moja kama mrisho mpoto wape radha nyingine watu. Ndo maa rappers wanafeli
Na ndio icon wa Tz rap sceneSi kila mtu anataka kufanya unavyotaka wewe, labda yeye naye hiyo ndiyo style yake.
Mbona Profesa Jay anaflow hivyo hivyo siku nyingi na watu wamemkubali kuwa hiyo ndiyo style yake?
Itaje basi twende kwa ushahid maana mmekomalia sana hakuna jambo jipya.
Afu nikupebna idea zingine mpya unambie wasanii hao wamezicopy wapi
Ishu ya Rap industry ya marekani ni tofauti na Africa . Wale wana East coast na west coast wanawasapoti rapper wao kwa njia yoyte ile kisa wanaiwakilisha sehemu wanayotoka.Freestyle wangapi wanafanya? Niambie usa wakali wa freestyle ambao ni ma mc wakubwa, u can have mad freestyle skills na watu wasikitambue na ukawa flat rapping skills na watu wakaenda nawe, kina 50 cent wameenda mjini na wala sio ma freestylist wa kutisha
Con Boi ni mnyamwez sema analetaga uzungu mwingi wabongo hawamuelewi, wamewazoea kina dungamaweUsimsahau mtaalamu ConBoi pia