Msanii Barnaba atanisamehe katika hili

Msanii Barnaba atanisamehe katika hili

Mfupi kama akili yake ndo maana kabadili dini kumfata mwanamke, ushuzi tu
 
Habari zenu.Kwanza nianze kwa kusema kuwa simchukii msanii wa Bongo Fleva "Barnaba Boy". Nitakachokiandika hapa kinatokana na hisia zangu binafsi.

Ni hivi mimi Kwa uwezo wangu mdogo kuhusu mziki wa hapa nchini huwa namuona msanii Barnaba kama msanii mwenye juhudi zaidi lakini ana uwezo wa kawaida.

Ni msanii ambaye nyimbo zake nyingi ni za kawaida sana.Ninavyojua ni kwamba kuna wasanii vijana wadogo ambao wameanza mziki miaka michache iliyopita lakini wamekuwa wakitoa nyimbo Kali kuliko za Barnaba ambaye anaonekana ni mkongwe katika gemu ya mziki.Hawa ndio wakina Hamonize,Marioo na wengineo.

Narudia tena Barnaba huenda akawa ni msanii mkongwe nchi hii lakini anabakia kuwa msanii mwenye uwezo wa Kati au uwezo mdogo. Hii ni Kwa mujibu wa mtazamo wangu.

kuna wimbo kaimba Barnaba na huyo Marioo hebu kasikikize vyenye marioo alivopotezwa...
 
Barnaba ni msaniiwenye sauti nzuri na mwenyekujua kuandika. Shida yake ni menejiment iliyomshika haimpi hadhi anayostahili. Hayuko peke peke yake ktk kundi hiko yuko pia Aslay na wengine. Hawa wamefanywa reputation yao iwe chini.
 
Nibembee🔥
Lover boy🔥
Hadithi 🔥
Mapenzi jeneza🔥
 
Imagine nyimbo pekee ninayo iona kali ya huyu mwamba ni LOVER BOY tu. Nyingine zote naona kama za zuchu [emoji23][emoji23][emoji23]
Anajivunia sauti tu, ila nyimbo ni nyepesi.Mi namuona mtu anaejua kujiremba na kujipamba kuliko wadada wengi.Na pengine kuvaa nguo zenye nyakati za kike.
 
Habari zenu.Kwanza nianze kwa kusema kuwa simchukii msanii wa Bongo Fleva "Barnaba Boy". Nitakachokiandika hapa kinatokana na hisia zangu binafsi.

Ni hivi mimi Kwa uwezo wangu mdogo kuhusu mziki wa hapa nchini huwa namuona msanii Barnaba kama msanii mwenye juhudi zaidi lakini ana uwezo wa kawaida.

Ni msanii ambaye nyimbo zake nyingi ni za kawaida sana.Ninavyojua ni kwamba kuna wasanii vijana wadogo ambao wameanza mziki miaka michache iliyopita lakini wamekuwa wakitoa nyimbo Kali kuliko za Barnaba ambaye anaonekana ni mkongwe katika gemu ya mziki.Hawa ndio wakina Hamonize,Marioo na wengineo.

Narudia tena Barnaba huenda akawa ni msanii mkongwe nchi hii lakini anabakia kuwa msanii mwenye uwezo wa Kati au uwezo mdogo. Hii ni Kwa mujibu wa mtazamo wangu.

Sababu ni hiyo tu, au kuna sababu nyingine umeamua kuzificha nyuma ya pazia?

Maana isije ikawa ameingia kwenye 18 zako! Ni juzi tu hapa ametoka kuvuta jiko kali!!
 
Pamoja na madhaifu yake mengine ikiwa ni pamoja na Kulialia kama mtoto au wakike, na ushamba WA Wanawake.

Bado yupo katika top 10 ya wasanii wa kiume wanaojua kuimba hapa nchini TANZANIA.

Diamond mwenyewe Kwa Barnaba hatoboi hasa kwenye uimbaji.

Changamoto za Barnaba zinazomfanya asiwe mwombaji mkubwa ni;
1. Hana Haiba, mwonekano wa kuvutia.
2. Hana Nyota
3. Hajiamini na hawezi kuvaa uhusika wa kisanii. Hana drama.
4. Sio kiongozi Ila yupo kwaajili ya kutongozwa.
 
Habari zenu.Kwanza nianze kwa kusema kuwa simchukii msanii wa Bongo Fleva "Barnaba Boy". Nitakachokiandika hapa kinatokana na hisia zangu binafsi.

Ni hivi mimi Kwa uwezo wangu mdogo kuhusu mziki wa hapa nchini huwa namuona msanii Barnaba kama msanii mwenye juhudi zaidi lakini ana uwezo wa kawaida.

Ni msanii ambaye nyimbo zake nyingi ni za kawaida sana.Ninavyojua ni kwamba kuna wasanii vijana wadogo ambao wameanza mziki miaka michache iliyopita lakini wamekuwa wakitoa nyimbo Kali kuliko za Barnaba ambaye anaonekana ni mkongwe katika gemu ya mziki.Hawa ndio wakina Hamonize,Marioo na wengineo.

Narudia tena Barnaba huenda akawa ni msanii mkongwe nchi hii lakini anabakia kuwa msanii mwenye uwezo wa Kati au uwezo mdogo. Hii ni Kwa mujibu wa mtazamo wangu.

Barnaba anaimba vizuri ila Hana nyota
 
Pamoja na madhaifu yake mengine ikiwa ni pamoja na Kulialia kama mtoto au wakike, na ushamba WA Wanawake.

Bado yupo katika top 10 ya wasanii wa kiume wanaojua kuimba hapa nchini TANZANIA.

Diamond mwenyewe Kwa Barnaba hatoboi hasa kwenye uimbaji.

Changamoto za Barnaba zinazomfanya asiwe mwombaji mkubwa ni;
1. Hana Haiba, mwonekano wa kuvutia.
2. Hana Nyota
3. Hajiamini na hawezi kuvaa uhusika wa kisanii. Hana drama.
4. Sio kiongozi Ila yupo kwaajili ya kutongozwa.
Namba mbili ndo fungal kazi
 
Back
Top Bottom