Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Naam,Mimi sio msikilizaji wa bongo flava,napenda Bolingo,ila Barnaba Ni anajua sana,tatizo Hana nyota, Mwanamuziki Ni huyo hao hawamuelewi nahisi hawajui musicAnajua sana ,tena sana.
Tatizo sio mtu wa kik na mziki umempa pesa kinoma ,moja ya kipaji kuntu Cha THT.
Mwanaume anayebadilisha dini sababu ya mwanamke hawezi kuwa makini kwa lolote hapa duniani,aidha awe mkristo au muislam!!Habari zenu.Kwanza nianze kwa kusema kuwa simchukii msanii wa Bongo Fleva "Barnaba Boy". Nitakachokiandika hapa kinatokana na hisia zangu binafsi.
Kipenda roho...Mfupi kama akili yake ndo maana kabadili dini kumfata mwanamke, ushuzi tu
kuna wimbo kaimba Barnaba na huyo Marioo hebu kasikikize vyenye marioo alivopotezwa...Habari zenu.Kwanza nianze kwa kusema kuwa simchukii msanii wa Bongo Fleva "Barnaba Boy". Nitakachokiandika hapa kinatokana na hisia zangu binafsi.
Ni hivi mimi Kwa uwezo wangu mdogo kuhusu mziki wa hapa nchini huwa namuona msanii Barnaba kama msanii mwenye juhudi zaidi lakini ana uwezo wa kawaida.
Ni msanii ambaye nyimbo zake nyingi ni za kawaida sana.Ninavyojua ni kwamba kuna wasanii vijana wadogo ambao wameanza mziki miaka michache iliyopita lakini wamekuwa wakitoa nyimbo Kali kuliko za Barnaba ambaye anaonekana ni mkongwe katika gemu ya mziki.Hawa ndio wakina Hamonize,Marioo na wengineo.
Narudia tena Barnaba huenda akawa ni msanii mkongwe nchi hii lakini anabakia kuwa msanii mwenye uwezo wa Kati au uwezo mdogo. Hii ni Kwa mujibu wa mtazamo wangu.
Kumbe.Mfupi kama akili yake ndo maana kabadili dini kumfata mwanamke, ushuzi tu
Anajivunia sauti tu, ila nyimbo ni nyepesi.Mi namuona mtu anaejua kujiremba na kujipamba kuliko wadada wengi.Na pengine kuvaa nguo zenye nyakati za kike.Imagine nyimbo pekee ninayo iona kali ya huyu mwamba ni LOVER BOY tu. Nyingine zote naona kama za zuchu [emoji23][emoji23][emoji23]
Dini haiwezi mkosesha mwanaume wa kweli jambo lake.Dini ni muhimu kwa watumwa.Mwanaume anayebadilisha dini sababu ya mwanamke hawezi kuwa makini kwa lolote hapa duniani,aidha awe mkristo au muislam!!
Sababu ni hiyo tu, au kuna sababu nyingine umeamua kuzificha nyuma ya pazia?Habari zenu.Kwanza nianze kwa kusema kuwa simchukii msanii wa Bongo Fleva "Barnaba Boy". Nitakachokiandika hapa kinatokana na hisia zangu binafsi.
Ni hivi mimi Kwa uwezo wangu mdogo kuhusu mziki wa hapa nchini huwa namuona msanii Barnaba kama msanii mwenye juhudi zaidi lakini ana uwezo wa kawaida.
Ni msanii ambaye nyimbo zake nyingi ni za kawaida sana.Ninavyojua ni kwamba kuna wasanii vijana wadogo ambao wameanza mziki miaka michache iliyopita lakini wamekuwa wakitoa nyimbo Kali kuliko za Barnaba ambaye anaonekana ni mkongwe katika gemu ya mziki.Hawa ndio wakina Hamonize,Marioo na wengineo.
Narudia tena Barnaba huenda akawa ni msanii mkongwe nchi hii lakini anabakia kuwa msanii mwenye uwezo wa Kati au uwezo mdogo. Hii ni Kwa mujibu wa mtazamo wangu.
Barnaba anaimba vizuri ila Hana nyotaHabari zenu.Kwanza nianze kwa kusema kuwa simchukii msanii wa Bongo Fleva "Barnaba Boy". Nitakachokiandika hapa kinatokana na hisia zangu binafsi.
Ni hivi mimi Kwa uwezo wangu mdogo kuhusu mziki wa hapa nchini huwa namuona msanii Barnaba kama msanii mwenye juhudi zaidi lakini ana uwezo wa kawaida.
Ni msanii ambaye nyimbo zake nyingi ni za kawaida sana.Ninavyojua ni kwamba kuna wasanii vijana wadogo ambao wameanza mziki miaka michache iliyopita lakini wamekuwa wakitoa nyimbo Kali kuliko za Barnaba ambaye anaonekana ni mkongwe katika gemu ya mziki.Hawa ndio wakina Hamonize,Marioo na wengineo.
Narudia tena Barnaba huenda akawa ni msanii mkongwe nchi hii lakini anabakia kuwa msanii mwenye uwezo wa Kati au uwezo mdogo. Hii ni Kwa mujibu wa mtazamo wangu.
Namba mbili ndo fungal kaziPamoja na madhaifu yake mengine ikiwa ni pamoja na Kulialia kama mtoto au wakike, na ushamba WA Wanawake.
Bado yupo katika top 10 ya wasanii wa kiume wanaojua kuimba hapa nchini TANZANIA.
Diamond mwenyewe Kwa Barnaba hatoboi hasa kwenye uimbaji.
Changamoto za Barnaba zinazomfanya asiwe mwombaji mkubwa ni;
1. Hana Haiba, mwonekano wa kuvutia.
2. Hana Nyota
3. Hajiamini na hawezi kuvaa uhusika wa kisanii. Hana drama.
4. Sio kiongozi Ila yupo kwaajili ya kutongozwa.
Anajua kuomba, wakati hata dini tu keshabadilisha. 😊No matter what...barnaba anajua Sana kuomba...