FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
-
- #41
Picha ya huyo mtoto, umeomba ruhusa ya wazazi wake?View attachment 2396558
umepanick kiongozi,japo ni kweli kwa kazi na wasifu wake diamond hayo ni mambo ya kawaida kabisa.
Kanye magogoni utumie uhuru wako vizuri,hata pesa ni zako choma moto hadharani uone nini kitakachokutokea.Kila mtu ana Uhuru na mwili wake bro, AF pia kuanzisha kumjadili mwanaume mwenzako haijakaa poa
Mwisho wake watataka kufanya kila anachofanya mwanamkeYeye si alimsema Ney wa Mitengo kutoboa pua
Sasa zamu yake
Naweza sema kitu kimoja
Yaani wasanii wetu wana amini kuwa maarufu au kuwa star basi ni kufanana na mwanamke.
Mwanamke anatoboa pua
Mwanamke ana suka nywele
Mwanamke ana vaa hereni
Ruge alisema Mungu na teknolojia sio vitu vya kuvichezea, huyu mond aliwapiga madongo watoboa pua ila leo anatoboa yeyeNi maisha yake, mwache aishi anavyotaka.
Hamna Teja acha wivuDiamond , wema sepetu saivi wamekuwa mateja wamechanganyikiwa sijui kwanini??
Zuchi sio mwema anazidisha ujinga unaomchanganya huyo daimond asipoangalia Zuchu atamzima kabisa.
Angalia mahusiano ya nyuma yalikuwa mazuri na afya yaakili ni nzuri ona huyu mpemba kaja anamzima kisiri siri
The same here labda kufuga rasta tu maana imani yangu inaruhusuKuna vitu Hadi nakufa siwezi fanya Hadi naingia chini kusuka, tatoo, kutoboa pua skio[emoji119][emoji706]
Tukana humu kwa kujifanya unaakili wewe ndio teja mkubwa maana unapanic ukweli kwa zari alikuwa anajitambua , kwa tanasha hata hamisa ila kwa zuchu anazima kabisa hapo kuna kitu unajidai wivu .Hamna Teja acha wivu
We hupo depressed Mtu smart hawezi kufatilia mahusiano ya kingono ya watu . I guess you going through in difficult momentTukana humu kwa kujifanya unaakili wewe ndio teja mkubwa maana unapanic ukweli kwa zari alikuwa anajitambua , kwa tanasha hata hamisa ila kwa zuchu anazima kabisa hapo kuna kitu unajidai wivu .
Tuseme ukweli tu daimond ni mtu wakuwa naye hapana kwakweli sio type yangu mi hunijui mie sio nadandia tu watu nope .
Kuna maclass fulani ndio hobbies zetu sio daimond ni jina tu ila hajui mengi hana class hata aweje hata awe billionea hana class kiufupi hujui mwanaume wakuoa ni yupi na wakumtumia ila daimond hata wakutumiwa na mtu kama mimi ni hapana .
Hata aniongee kiasi gani
diamond hajawah kuwa hata robo ya CB, kwenye kila kitu...yan diamond amweze CB kwenye mziki are you joking ?Unajua nini, usimfananishe Mondi na Brown, Mondi yuko juu sana kwa hapa Africa, Brown alikuwa juu zamani kwa US, so si chochote kwa Mondi. Ila huku kutoboa pua ni kutupiga na kitu kizito
Nimemshangaa sana huyu jamaa mziki haujui....yan CB na mondi eti mond mkali πhapo kwenye cb na mondi nakupinga mkuu cb ni next level world wide usije ukasema cb si kitu kwa mondi aloooo umechanganyikiwa? mtu mwenye rekodi nzuri ya mziki mtu mwenye biashara new york aloooo kaka mbingu na ardhi si sawa
Come on man...why did you even write this in the first place ? fix this my GWe hupo depressed Mtu smart hawezi kufatilia mahusiano ya kingono ya watu . I guess you going through in difficult moment
Malezi hayahusiki ni ushoga tuinategemea umelelewa vipi.
Wapo mastar ila hawana hizo tabia
Wapo watu wana hela chafu ila hawana hzo tabia
kwahyo malezi ndio yanatathmini ww utakua vipi na utafanya nn kwenye mtindo wa maisha yako. watoto wadogo tu skuhzi wanavaa hereni hadi puani mixer tattoo kama zote ni malezi tu.
mm ninauwezo wa kutoboa na kuchora tattoo ila nikiangalia nimetoka kwenye malezi gani bas siwez kufanya kwa heshima ya familia na jamaii inayonizunguka
Come on man...why did you even write this in the first place ? fix this my G
hupo β
upoβ
I guess you going through in difficult momentβ
I guess you are going through some difficulties β
When you are fixing people on whatever you are trying to fix them try to be perfect. Lets say she wants to take your advice, maybe there is something good out of what you have written, but umeandika broken all the way, and that makes it difficult for people to understand
Wewe acha kuwa kama taahira , hakuna kitu kama βin difficult momentβ. Tafsiri sahihi ni hiyo aliyokupa jamaa, huwezi kutafsiri moja kwa moja kama sentensi ilivyo kama unavyofanya weweWewe unafahamu kingereza
Hiyo some difficulties unaona inaleta maana ??
I guess you going through in difficult moment
"Nadhani unapitia wakati Mgumu"
Mbona mnakuwa na ujinga mwingi watu !!!? Unadhani Mimi sikwenda shule sio??Wewe acha kuwa kama taahira , hakuna kitu kama βin difficult momentβ. Tafsiri sahihi ni hiyo aliyokupa jamaa, huwezi kutafsiri moja kwa moja kama sentensi ilivyo kama unavyofanya wewe
Acha ubishi, huwa hatutafsiri neno kwa neno kama unavyotaka kufanya, tunaangalia kwanza maana ya jumla ya sentensi ndio tunatafsiriMbona mnakuwa na ujinga mwingi watu !!!? Unadhani Mimi sikwenda shule sio??