Msanii Diamond atoboa pua

Wanaume tumebaki wachache sana ..

Mzee wa kondoa .. nlikuwa wa kiume kumbe nae walewale ...


Don masha Nae wale wale ...


Acheni hizo pigo za kiwaki kaka zangu .. kumbafu
 
Unajua nini, usimfananishe Mondi na Brown, Mondi yuko juu sana kwa hapa Africa, Brown alikuwa juu zamani kwa US, so si chochote kwa Mondi. Ila huku kutoboa pua ni kutupiga na kitu kizito
Kaka ficha ujinga wake kabla ya kuandika fuatilia kwanza ujue, yaani ulinganishe CB na msanii wa kibongo
 
Diamond anafuatiliwa na watu wengi, hasa vijana wadogo, sasa utasemaje tusimfuatilie pale anapopotosha vijana?! Wewe ndio chokoo
Hao vijana wasio na akili za kujua lipi linawafaa na lipi haliwafai yaani kila lifanywalo na celebrities wanaiga tu hao na walezi wao ndiyo wanapaswa kuitwa machoko, tulee watoto kwa principles na tuhakikishe wanazifuata principles tunazowafundisha.
Tuache kuwapa watoto wetu uhuru uliopitiliza.
 
Kanye magogoni utumie uhuru wako vizuri,hata pesa ni zako choma moto hadharani uone nini kitakachokutokea.
Kuchoma moto pesa ni criminal offense lakini kutoboa pua si kosa kisheria, umelinganisha vitu pasina kutumia akili.
 
Hamisa hajawahi kuwa girlfriend wa Sadala, alikuwa mchepuko tu wakati Sadala akiwa na Zari. Hakupaswa kuwepo kwenye mfano wako.
 
Kuchoma moto pesa ni criminal offense lakini kutoboa pua si kosa kisheria, umelinganisha vitu pasina kutumia akili.
Mimi sikubase zaidi kwenye makosa bali mantiki yangu ilikuwa uhuru wowote ule una mipaka na sio sawa mtu kusema hiki kitu changu nina uwezo wa kukifanyia lolote.
 
Mimi sikubase zaidi kwenye makosa bali mantiki yangu ilikuwa uhuru wowote ule una mipaka na sio sawa mtu kusema hiki kitu changu nina uwezo wa kukifanyia lolote.
Uhuru wa kutoboa pua(japo sipendezewi mwanamme kutoboa pua au kutoboa masikio) si kuvuka mipaka ndiyo maana wanaofanya hivyo hawachukuliwi hatua za kisheria.
Yoyote yule anayetaka kujitoboa popote bila kuhatarisha uhai wake anao uhuru huo kwa asilimia mia moja.
 
Darmian Soul ni zaidi ya kituko sasa. Sijui ni nini huwa kinawapelekea hata kuchukua maamuzi kama hayo.
 
Kwa wewe unavyotafsiri na inategemeana na sehemu mfano baadhi ya nchi suala ushoga mtu hajavuka mipaka lakini sehemu nyingine ni marufuku na ni kosa kubwa.
 
Wewe unafahamu kingereza

Hiyo some difficulties unaona inaleta maana ??


I guess you going through in difficult moment

"Nadhani unapitia wakati Mgumu"
mkuu sasa kwanini usiandike "I think you are going through a difficult time" ?...hyo broken uloandika hapo haifai, uliza hata mtu jiran hapo...and yes me najua kingereza kuliko wewe , we go through a difficult time sio in difficult time, google what you wrote and see if it makes sense...mkuu mbona padogo sana hapo alafu panakuchengua ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…