Mungu Mweusi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 1,474
- 1,080
Am I the only one who inspired by PLO Lumumba's English?Mbona watu wanaandika kiswahili kibovu kwenye R wanaweka L na kwenye K wanaweka R pia kwenye A wanaweka H na kwenye H wanaweka A
Sembuse kiingereza
Namshauri domo amtafute huyu prof ,ndani ya wiki 3 atakuwa fundi
Mbona insta anaandika vizuri?Anaandika Javan Samora-Kenya
Msanii wa kizazi kipya Diamond Platnumz ( Dangote ) leo amewachefua fans wake mara baada ya kuongea Ki-ingereza cha hovyo ( Broken English ) na kuzua taharuki kwa mashabiki, Akiongea kupitia kupitia kituo cha Redio cha Class FM wakati wa kutangaza uzinduzi wa cologne (Parfume )
yake mpya, Daimond ameacha story mbaya miongoni mwa Mashabiki wake Africa na Duniani kwa Ujumla,
Hata hivyo Mtangazaji wa kituo hicho Maina Kageni wa kipindi cha Morning showz amepotezea kwa kwa kuwaambia mashabiki (Fans) kiingereza ni kwa aajili ya mawasiliano wala sio kipimo cha ujuzi.
Mytake; Mh Dangote jaribu kujitathimini kwa mtazamo wangu hauendi vizuri sana kama mwanzo so kama muziki umekushinda fanya mengine ili usiipoteze hii branding yako, Hapa Tanzania umewavuruga sana fans wako kwa kumtetea Albert Bashite pamoja na kutupia instagram post ukitukana matusi ya ajabu ajabu, Jaribu kujitadhimini upya kama ndiwe "Diomond Platnumz) tuliyemfahamu au ndio umeota mapembe tukuongezee mkia. Achana na Siasa uchwara.
View attachment 498394
kwani kiingereza ni lugha yake ya taifa???nachodhani sio lazima ajue kiingerezaAnaandika Javan Samora-Kenya
Msanii wa kizazi kipya Diamond Platnumz ( Dangote ) leo amewachefua fans wake mara baada ya kuongea Ki-ingereza cha hovyo ( Broken English ) na kuzua taharuki kwa mashabiki, Akiongea kupitia kupitia kituo cha Redio cha Class FM wakati wa kutangaza uzinduzi wa cologne (Parfume )
yake mpya, Daimond ameacha story mbaya miongoni mwa Mashabiki wake Africa na Duniani kwa Ujumla,
Hata hivyo Mtangazaji wa kituo hicho Maina Kageni wa kipindi cha Morning showz amepotezea kwa kwa kuwaambia mashabiki (Fans) kiingereza ni kwa aajili ya mawasiliano wala sio kipimo cha ujuzi.
Mytake; Mh Dangote jaribu kujitathimini kwa mtazamo wangu hauendi vizuri sana kama mwanzo so kama muziki umekushinda fanya mengine ili usiipoteze hii branding yako, Hapa Tanzania umewavuruga sana fans wako kwa kumtetea Albert Bashite pamoja na kutupia instagram post ukitukana matusi ya ajabu ajabu, Jaribu kujitadhimini upya kama ndiwe "Diomond Platnumz) tuliyemfahamu au ndio umeota mapembe tukuongezee mkia. Achana na Siasa uchwara.
View attachment 498394
Cha ajabu ni huu uzi kuanzishwa kwenye jukwaa la siasa.Sijaona cha ajabu hapo ulimi hauna mfupa
Umeona eeeehWivu ni mbaya sana anaweza kulazwa mtu
bashite ataondoka kwenye kundi litakaozoa watumishi 10,000 baada ya ripoti kutolewa rasmi. Msiogope mambo yanasonga mbele!Analaana ya kumsafisha bashite huyu
Live long PLO LumumbaAm I the only one who inspired by PLO Lumumba's English?