Tetesi: Msanii Diamond Platnumz (Dangote) aumbuka Kenya:

Tetesi: Msanii Diamond Platnumz (Dangote) aumbuka Kenya:

Wazungu wenyewe hawajui kiingereza sasa ngozi ya Giza nayo ya kucheka hilo? Pia wajue Diamond ametoka wapi anaenda wapi, Diamond siyo kwamba anajua kiingereza La Hasha!! Yupo kwenye kujifunza lugha. Kwa hiyo makosa anayoyafanya ni mapungufu katika kuendelea kuifahamu Lugha. Ila kuna chembe ya wenye njaaa kumuonea kijicho........KODO
 
Mbona watu wanaandika kiswahili kibovu kwenye R wanaweka L na kwenye K wanaweka R pia kwenye A wanaweka H na kwenye H wanaweka A

Sembuse kiingereza

Namshauri domo amtafute huyu prof ,ndani ya wiki 3 atakuwa fundi

1140f523bc5711bf0e228a050898c381.jpg
 
Ndio anaanza huyo ... Mr. Nice alianza hivihivi kupotea kwenye ramani ...

Dogo achana na siasa uchwara za Bongo zitakutia madoa madogodogo mpaka litakua doa kubwa ... achana na siasa ni mchezo wa waerevu wanao lazimisha wajinga kuucheza kwa maslahi yao ...
 
Mbona watu wanaandika kiswahili kibovu kwenye R wanaweka L na kwenye K wanaweka R pia kwenye A wanaweka H na kwenye H wanaweka A

Sembuse kiingereza

Namshauri domo amtafute huyu prof ,ndani ya wiki 3 atakuwa fundi

1140f523bc5711bf0e228a050898c381.jpg
Am I the only one who inspired by PLO Lumumba's English?
 
Anaandika Javan Samora-Kenya
Msanii wa kizazi kipya Diamond Platnumz ( Dangote ) leo amewachefua fans wake mara baada ya kuongea Ki-ingereza cha hovyo ( Broken English ) na kuzua taharuki kwa mashabiki, Akiongea kupitia kupitia kituo cha Redio cha Class FM wakati wa kutangaza uzinduzi wa cologne (Parfume )
yake mpya, Daimond ameacha story mbaya miongoni mwa Mashabiki wake Africa na Duniani kwa Ujumla,
Hata hivyo Mtangazaji wa kituo hicho Maina Kageni wa kipindi cha Morning showz amepotezea kwa kwa kuwaambia mashabiki (Fans) kiingereza ni kwa aajili ya mawasiliano wala sio kipimo cha ujuzi.

Mytake; Mh Dangote jaribu kujitathimini kwa mtazamo wangu hauendi vizuri sana kama mwanzo so kama muziki umekushinda fanya mengine ili usiipoteze hii branding yako, Hapa Tanzania umewavuruga sana fans wako kwa kumtetea Albert Bashite pamoja na kutupia instagram post ukitukana matusi ya ajabu ajabu, Jaribu kujitadhimini upya kama ndiwe "Diomond Platnumz) tuliyemfahamu au ndio umeota mapembe tukuongezee mkia. Achana na Siasa uchwara.

View attachment 498394
Mbona insta anaandika vizuri?
 
kiingereza ni muhimu kwa mawasiliano .lkn, kumsema mbongo kuhusu kingereza kibaya sio vzr.tunajua shule tulizosoma wengi wetu hasa huyo diamond......tumekuwa watumwa wa fikra kupita kiasi
 
lkwani kiingereza
Anaandika Javan Samora-Kenya
Msanii wa kizazi kipya Diamond Platnumz ( Dangote ) leo amewachefua fans wake mara baada ya kuongea Ki-ingereza cha hovyo ( Broken English ) na kuzua taharuki kwa mashabiki, Akiongea kupitia kupitia kituo cha Redio cha Class FM wakati wa kutangaza uzinduzi wa cologne (Parfume )
yake mpya, Daimond ameacha story mbaya miongoni mwa Mashabiki wake Africa na Duniani kwa Ujumla,
Hata hivyo Mtangazaji wa kituo hicho Maina Kageni wa kipindi cha Morning showz amepotezea kwa kwa kuwaambia mashabiki (Fans) kiingereza ni kwa aajili ya mawasiliano wala sio kipimo cha ujuzi.

Mytake; Mh Dangote jaribu kujitathimini kwa mtazamo wangu hauendi vizuri sana kama mwanzo so kama muziki umekushinda fanya mengine ili usiipoteze hii branding yako, Hapa Tanzania umewavuruga sana fans wako kwa kumtetea Albert Bashite pamoja na kutupia instagram post ukitukana matusi ya ajabu ajabu, Jaribu kujitadhimini upya kama ndiwe "Diomond Platnumz) tuliyemfahamu au ndio umeota mapembe tukuongezee mkia. Achana na Siasa uchwara.

View attachment 498394
kwani kiingereza ni lugha yake ya taifa???nachodhani sio lazima ajue kiingereza
 
Nimeona wazungu wengi wakikosea kiswahili, ila hatusemi wameumbuka. Mm sipo kwenye hizo timu zenu, ila nimegundua utumwa hautaisha ktk vichwa vya baadhi ya watu.
 
Sasa wewe kinachokuuma nini?? Mbona wakati anakomaa kukijua haukuwepo kumweleza kipi sahihi na kipi si sahihi. Cause Dangote kwenye kingeleza hakuo yupo vizuri tangu enzi hizo.
 
Back
Top Bottom