mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
HAO WAMETUMIA KWENYE KUINGIZA PESA. Bar watu wanasikikiliza kuburudika.Wabongo bwana nyimbo zenu zisipopigwa mnapiga kelele mnabaniwa. Zikipigwa ndio mnajitutumua. Mbona zinapigwa kwenye bar za pombe za kienyeji hamdai fidia?
Mbona wajumbe walimkataKiutani utani anaweza kuambulia hata Bilioni 1
Mwan a Fa na Ay waliwahi kuwashtaki Tigo kutumia nyimbo zao kwenye miito ya kupiga simu, Tigo waliwalipa bilioni 2.15 lakini kiuhalisia huenda walibaki na bilioni 1.5 (kila moja milioni 750), Huenda walimlipa mwanasheria wao Albert Msando milioni 150 na wazee wazito wakapiga mchinjo wa milioni 500.
Ay naskia aliwekeza kwenye biashara ila kwa Fa itakuwa alitia hata milioni 200 kwajili ya kampeni za ubunge, kuwatuliza wajumbe, n.k
Hoja yako ni ya msingi, wameshindwa kulipigania hili. Mwanafalsafani amepewa kitengo alikuwa na kelele nyingi, naye naona sasa hivi anasherehekea matunda ya Uhuru tu.Wabongo bwana nyimbo zenu zisipopigwa mnapiga kelele mnabaniwa. Zikipigwa ndio mnajitutumua. Mbona zinapigwa kwenye bar za pombe za kienyeji hamdai fidia?
Pamoja na hayo,ila FA hakushinda kura za maoni Handeni.Kiutani utani anaweza kuambulia hata Bilioni 1
Mwan a Fa na Ay waliwahi kuwashtaki Tigo kutumia nyimbo zao kwenye miito ya kupiga simu, Tigo waliwalipa bilioni 2.15 lakini kiuhalisia huenda walibaki na bilioni 1.5 (kila moja milioni 750), Huenda walimlipa mwanasheria wao Albert Msando milioni 150 na wazee wazito wakapiga mchinjo wa milioni 500.
Ay naskia aliwekeza kwenye biashara ila kwa Fa itakuwa alitia hata milioni 200 kwajili ya kampeni za ubunge, kuwatuliza wajumbe, n.k
Bar zinapigwa kama sehemu ya burudani... Ila pale lilikua ni tangazoWabongo bwana nyimbo zenu zisipopigwa mnapiga kelele mnabaniwa. Zikipigwa ndio mnajitutumua. Mbona zinapigwa kwenye bar za pombe za kienyeji hamdai fidia?
Mbona wajumbe walimkata
HahahahaaaaWabongo bwana nyimbo zenu zisipopigwa mnapiga kelele mnabaniwa. Zikipigwa ndio mnajitutumua. Mbona zinapigwa kwenye bar za pombe za kienyeji hamdai fidia?
Sanaa yule kaka Hana mambo mengi ni mtu wa kupoa tu ila ana pesaAy ana mzigo damu yangu niamini ni mtu low key
We kweli kilaza..wimbo umetumika kwenye matangazo ya biashara.. hujaelewa nini?Wabongo bwana nyimbo zenu zisipopigwa mnapiga kelele mnabaniwa. Zikipigwa ndio mnajitutumua. Mbona zinapigwa kwenye bar za pombe za kienyeji hamdai fidia?
Kwani zinapitumika bar , huwa hazitangazi biashara?We kweli kilaza..wimbo umetumika kwenye matangazo ya biashara.. hujaelewa nini?
Burudani ni pale unaponunua wimbo huo na kupiga nyumbani kwako. Bar hakuna Cha burudani kati ya mmiliki wa bat na mteja, anamvutia ili aendelee kunywa afanye biashara zaidi. Kwa lugha nyingine ni kutangaza biashara. Kama mteja UTAKUWA umenunua wimbo huo ukaenda nao baa ,ukawa unajisikilizia mwenyewe kwenye earphones zako hapo ndio burudaniBar zinapigwa kama sehemu ya burudani... Ila pale lilikua ni tangazo
Tunasubiri nao watajirike hapa Hapon mtuWabongo bwana nyimbo zenu zisipopigwa mnapiga kelele mnabaniwa. Zikipigwa ndio mnajitutumua. Mbona zinapigwa kwenye bar za pombe za kienyeji hamdai fidia?
Ay kachoka?AY mbona kama kachoka Sana na mke kamkimbia? Anaweza kweli kuwa alipata 2bn?
bar wimbo unapigwa kwa ajili ya kuburudisha walevi ambao ni mashabiki lakini huko kwingine wimbo unapigwa ili kuitangaza kampuniWabongo bwana nyimbo zenu zisipopigwa mnapiga kelele mnabaniwa. Zikipigwa ndio mnajitutumua. Mbona zinapigwa kwenye bar za pombe za kienyeji hamdai fidia?
Natamani uwe mwanasheria wa dstv halafu uende na hii hoja uone utakavyokua kichekeshoWabongo bwana nyimbo zenu zisipopigwa mnapiga kelele mnabaniwa. Zikipigwa ndio mnajitutumua. Mbona zinapigwa kwenye bar za pombe za kienyeji hamdai fidia?
Muombee ashinde kesi,Halafu nawewe fungua kesi ya madai ya mil1 yako na Riba ya miaka 10.Huyo dito mwenyew tapel
Aliwai nitapel 1m
Miaka kama 10 iliyopita
Asubuhi wanashinda.Natamani uwe mwanasheria wa dstv halafu uende na hii hoja uone utakavyokua kichekesho